FAMILIA YAKATWA MAPANGA
![](http://api.ning.com:80/files/80HUFF25OCBSu4fkYqRSz*43kkDSkxFaFFwoXkRjYV7fB0eIbrd2f0d5h0dylw0mFmMhFvEVk2a0GN-QcADOm8Qf9k3XTapZ/Kipigo.jpg?width=650)
Stori: Waandishi Wetu Tukio hilo lilitokea Aprili 18, mwaka huu, maeneo ya Mkuranga mkoani Pwani ambapo awali familia hiyo ilipata taarifa kuwa kuna watu wanaonekana kwenye shamba lao wakikata miti na kujipimia maeneo, hali iliyowalazimu kufunga safari ili kujua watu hao walikuwa na lengo gani. Mmoja wa wanafamilia aliyejeruhiwa alitambukika kwa jina moja la Coline. Akizungumza na waandishi wetu, Karim alisema kuwa akiwa...
GPL
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10