Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawasiliano ya kijamii yakatwa Burundi

Utawala nchini Burundi umekata mawasiliano ya mitandao ya kijamii kupitia kwa simu za mkononi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii

Mjumbe wa Bodi ya Utendaji wa Kituo cha Ushirikiano wa kilimo na Maendeleo Vijijini cha nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Karebiani na Pasifiki (CTA), ProfesaFaustin Kamuzora akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi rasmi wa mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii kwa wadau toka taasisi mbalimbali nchini jana jijini Dar es Salaam.  Mafunzo hayo yanaendeshwa na CTA na Taasisi ya Nafaka ya Afrika ya Mashariki (EAGI).  

 

5 years ago

CCM Blog

MITANDAO YA KIJAMII YAZIMWA UCHAGUZI MKUU BURUNDI

Wagombea saba hii leo wanawania kumrithi Pierre NkurunzizaImage captionWagombea saba hii leo wanawania kumrithi Pierre NkurunzizaMitandao ya kijamii imezimwa huku wananchi wakiendelea kupiga kura nchini Burundi katika uchaguzi mkuu hii leo.BBC imethibitisha kuwa mitandao ya Twitter, Whatsapp na Facebook kuwa haipatikani nchini humo.Serikali ya Burundi hata hivyo haijalizungumzia suala hilo.Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa toka saa 12 asubuhi na vitafungwa saa 10 alasiri.Wagombea saba wanawania hii leo kumrithi Pierre Nkurunziza, hata hivyo...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAKATWA MAPANGA

Stori: Waandishi Wetu Tukio hilo lilitokea Aprili 18, mwaka huu, maeneo ya Mkuranga mkoani Pwani ambapo awali familia hiyo ilipata taarifa kuwa kuna watu wanaonekana kwenye shamba lao wakikata miti na kujipimia maeneo, hali iliyowalazimu kufunga safari ili kujua watu hao walikuwa na lengo gani. Mmoja wa wanafamilia aliyejeruhiwa alitambukika kwa jina moja la Coline. Akizungumza na waandishi wetu, Karim alisema kuwa akiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yakatwa mapato

>Mahakama Kuu Kitengo cha Kazi imeliamuru Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuzuia mapato yote ya mlangoni ya Yanga ili kufidia deni la Sh.106 milioni wanazodaiwa na wachezaji wake wa zamani wa Wisdom Ndlovu na Stephen Marashi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria ya usalama yakatwa makali Kenya

Mahakama kuu nchini Kenya imesimamisha kwa muda matumizi ya baadhi ya vipengee vya sheria ya usalama yenye utata ilioidhinishwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Mishahara ya wakuu wa umma yakatwa ZIM

Wakuu wa makampuni ya umma nchini Zimbabwe watakatwa mishahara baada ya kubainika kwa kashfa ya malipo yasiyo halali

 

10 years ago

GPL

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Universal Communications Service Access Fund – UCSAF) Eng Peter Ulanga (Katikati) akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Prof. John Nkoma, CEO wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura wakiweka sahihi mikataba ya mabilioni kupelekea… ...

 

9 years ago

Michuzi

Mapokezi ya Katibu Mkuu Mpya Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Prof. Faustine Kamuzora

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano upande wa sekta ya Mawasiliano Prof Faustine Kamuzora wa pili kulia akipokea nyaraka wakati wa makabidhiano ya ofisi kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa iliyokuwa Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Dkt Yamungu Kayandabila wa kwanza kutoka kulia.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano katika sekta ya Mawasiliano Mary Sassabo kulia wakati akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Faustine Kamuzora (...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ashuhudia makampuni ya simu yakiweka saini mkataba wa makabaliano ya usambazaji huduma za mawasiliano vijijini

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa (kushoto) akimsikiliza kwa makini Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Georgia Mutagahywa (kulia) muda mfupi kabla ya kuanza kwa hafla ya utiaji saini mikataba ya usambazaji huduma za mawasiliano ya simu za mkononi maeneo ya vijijini kati ya makampuni ya simu na Mfuko wa Wamasiliano kwa Wote - (UCSAF) jijini Dar es salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasilano wa Airtel Beatrice Bandawe. Mkuu wa Idara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani