MTOTO AOKOTWA AMEKATWA MAPANGA
![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydX9A8MbN1OajZ8hxu20rGydK-MjlK7MZuCOgtX0HKOb7UTk4Q-lkc1YRu*enT4bhjt4dooKPYe2D9Dv-pGg5y0W/mtoto.jpg?width=650)
Stori: Makongoro Oging’ MTOTO Ismail Barihegi, mwenye umri wa miaka 12 mkazi wa Kijiji cha Fukayosi wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ameokotwa akiwa amekatwa mapanga baada ya kudaiwa kuipeleka mifugo yao katika mashamba. Mtoto Ismail Barihegi. Barihegi ambaye amelazwa katika Jengo la Mwaisela Wodi na 17, Muhimbili, alimwambia mwandishi wa habari hizi kwamba siku ya tukio (hakumbuki)alikuwa akichunga...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8RJjnOTtFDfq6uX5*fTUtWr2VLuxjP0HGb9WAfnjSeVy5k6WGAqnQFyKC7J*XB60O0qzf9jt0-9mUbnvmrAial5/MTOTO.gif?width=650)
MTOTO AOKOTWA KAMBINI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSs5wY-ljSFqD*jcqb1TUbAeIDkEb07oDtpLjaCxz5vI0d*zO9t6kV9BPTjSc*aaj91hUX137DaVeoneibJVlAK/mtoto.jpg)
MTOTO AOKOTWA GETINI AKIWA NA NGUO KWENYE RAMBO
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph-konyo-19Feb2015.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.
Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...
11 years ago
Mwananchi11 May
Mtoto awaua kwa mapanga wazazi wake, atoweka
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Rais Chuo Kikuu Bugando aokotwa akiwa hoi Mwanza
10 years ago
VijimamboMSICHANA AOKOTWA AKIWA TABANI KATIKA UCHOCHOLO WA BAR YA GALAX MJINI KAHAMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/80HUFF25OCBSu4fkYqRSz*43kkDSkxFaFFwoXkRjYV7fB0eIbrd2f0d5h0dylw0mFmMhFvEVk2a0GN-QcADOm8Qf9k3XTapZ/Kipigo.jpg?width=650)
FAMILIA YAKATWA MAPANGA