MTOTO AOKOTWA KAMBINI
![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8RJjnOTtFDfq6uX5*fTUtWr2VLuxjP0HGb9WAfnjSeVy5k6WGAqnQFyKC7J*XB60O0qzf9jt0-9mUbnvmrAial5/MTOTO.gif?width=650)
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro. ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kambi ya Pangawe mkoani Morogoro wamemuokota mtoto mwenye umri wa miaka sita, Mwajuma Athuman aliyedai kukimbia mateso kutoka kwa mama yake mkubwa Juni 17, mwaka huu. Mwajuma Athuman akiwa na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, Mohamed Said, aliyejifunika (kulia) ni mama anayedaiwa kumtesa mtoto huyo. Habari zilizopatikana eneo la tukio zinasema...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mK50tPAXydX9A8MbN1OajZ8hxu20rGydK-MjlK7MZuCOgtX0HKOb7UTk4Q-lkc1YRu*enT4bhjt4dooKPYe2D9Dv-pGg5y0W/mtoto.jpg?width=650)
MTOTO AOKOTWA AMEKATWA MAPANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSs5wY-ljSFqD*jcqb1TUbAeIDkEb07oDtpLjaCxz5vI0d*zO9t6kV9BPTjSc*aaj91hUX137DaVeoneibJVlAK/mtoto.jpg)
MTOTO AOKOTWA GETINI AKIWA NA NGUO KWENYE RAMBO
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Rais Chuo Kikuu Bugando aokotwa akiwa hoi Mwanza
10 years ago
VijimamboMSICHANA AOKOTWA AKIWA TABANI KATIKA UCHOCHOLO WA BAR YA GALAX MJINI KAHAMA
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Mbeya City kambini Julai 15
TIMU ya Mbeya City iliyokuja kwa kasi katika tasnia ya Soka hapa nchini, inatarajia kuingia kambini Julai 15 ikiwa ni maandalizi ya ligi Kuu Tanzania Bara. Kocha Mkuu wa Mbeya...
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Taifa Stars yaingia kambini
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Stars yarejea kambini Mbeya
KIKOSI cha timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars kesho kinatarajia kwenda jijini Mbeya kuendelea kujifua kuelekea mechi ya marudiano dhidi ya Msumbiji itakayochezwa wiki mbili zijazo, mjini Maputo, Msumbiji....