MSICHANA AOKOTWA AKIWA TABANI KATIKA UCHOCHOLO WA BAR YA GALAX MJINI KAHAMA
Huyu ni msichana ambaye alikutwa katika uchocholo wa club za bar usiku kati ya galax majira ya asubuhi saa 12 akiwa hajitabuhi
Baadhi ya wanachi wakijaribu kumuongalia bint huyo akiwa ana fahamu huku akiwa katika kichocholo huku nguo zake zikiwa zimechanwa na watu wasifamika mjini kahama.
Askari polisi wa kituo cha polis kahama thomas munyongo akijaribu kumtabua msichana huyo na bila mafanikio na kuomba msanda katika kituo cha polisi .
Baadhi ya watu wakijaribu kumtambua msichana huyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSs5wY-ljSFqD*jcqb1TUbAeIDkEb07oDtpLjaCxz5vI0d*zO9t6kV9BPTjSc*aaj91hUX137DaVeoneibJVlAK/mtoto.jpg)
MTOTO AOKOTWA GETINI AKIWA NA NGUO KWENYE RAMBO
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Rais Chuo Kikuu Bugando aokotwa akiwa hoi Mwanza
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZEDatS5-dj8/Vhh1Egy2VKI/AAAAAAAAHYM/digfQKFpkYA/s72-c/1.jpg)
10 years ago
GPLDAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WX6_r6JHb9c/U9YYNppcnYI/AAAAAAAF7T4/H43lsbar6_0/s72-c/Untitled2.jpg)
AZANIA BANK YAFUTARISHA WATEJA WAKE MJINI KAHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WX6_r6JHb9c/U9YYNppcnYI/AAAAAAAF7T4/H43lsbar6_0/s1600/Untitled2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ebqRJslp-7A/U9YYJ-4Dq3I/AAAAAAAF7Tc/J-Cwx7cGNCk/s1600/Untitled.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q5EbV1G0lCE/U9YYLIUezrI/AAAAAAAF7Tg/eEbJ6RCmr3I/s1600/Untitled1.jpg)
9 years ago
StarTV04 Nov
Zahanati ya NK mjini Kahama yafungwa kwa ukiukwaji wa kanuni za tiba.
Idara ya Afya ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga imeifunga zahanati ya NK inayomilikiwa na Wakorea pamoja na Wachina kwa kukiuka kanuni za utoaji tiba kwa kutoa dawa zilizomaliza muda wake sanjari na mazingira duni ya utunzani wa dawa.
Mapungufu hayo yamebainika wakati wa ukaguzi wa Zahanati hiyo uliofanywa na idara ya afya mjini Kahama kwa lengo la kudhibiti utoaji wa tiba za binadamu.
Halmashauriya mji wa Kahama ina vituo 34 vya kutoa huduma za afya kwa binadamu, Hospitali 2, vituo vya...
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mh. Lukuvi aweka jiwe la msingi nyumba 50 za gharama nafuu za NHC mjini Kahama
Hizi ni miongoni mwa nyumba 50 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC katika mtaa wa Bukondamoyo kata ya Mhungula katika halmashauri ya Mji Kahama mkoani Shinyanga. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi ameweka jiwe la msingi katika nyumba hizo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi akiwasili kuweka jiwe la msingi zilizojengwa na NHC eneo la Bukondamoyo Mjini Kahama.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...