Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSICHANA AOKOTWA AKIWA TABANI KATIKA UCHOCHOLO WA BAR YA GALAX MJINI KAHAMA


Huyu ni msichana ambaye alikutwa katika uchocholo wa club za bar usiku kati ya galax majira ya asubuhi saa 12 akiwa hajitabuhi Baadhi ya wanachi wakijaribu kumuongalia bint huyo akiwa ana fahamu  huku akiwa katika kichocholo huku nguo zake zikiwa zimechanwa na watu wasifamika mjini kahama. Askari  polisi wa kituo cha polis kahama thomas munyongo akijaribu kumtabua msichana huyo  na bila mafanikio na kuomba msanda katika kituo cha polisi . Baadhi ya watu wakijaribu kumtambua msichana huyo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTOTO AOKOTWA GETINI AKIWA NA NGUO KWENYE RAMBO

MTOTO mwenye umri unaokadiriwa kuwa mwaka mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, aliokotwa huko Kibamba CCM, jijini Dar es Salaam, nje ya geti la nyumba ya Getruda Gervans. Mtoto aliyetelekezwa (jina halikufahamika), mwenye umri unaokadiriwa kuwa mwaka mmoja. Tukio hilo lilitokea  Juni 24, mwaka huu saa moja na nusu asubuhi huku mfuko wenye nguo zake ukiwa pembeni yake.… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Rais Chuo Kikuu Bugando aokotwa akiwa hoi Mwanza

>Rais wa Serikali ya Wanafunzi Chuo Kikuu cha Sayansi ya Afya na Tiba Bugando (Cuhas), Mussa Mdede ambaye alitoweka katika mazingira ya kutatanisha Juni 17, mwaka huu ameokotwa eneo la Busagara mkoani hapa akiwa hajitambui.

 

10 years ago

GPL

DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE

Inspector Haroun 'Babu' akifanya makamuzi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene ndani ya Dar Lve jana.…

 

11 years ago

Michuzi

AZANIA BANK YAFUTARISHA WATEJA WAKE MJINI KAHAMA

MENEJA WA AZANIA BENKI LIMITED, TAWI LA KAHAMA, BWANA GEOFFREY MAHONA, AKIONGEA KWENYE SHUGHULI YA FUTARI ALIYOWAANDALIA WATEJA WA BENKI HIYO NA BAADHI YA WANANCHI WA KAHAMA KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI YA KAHAMA HIVI KARIBUNI.SHEIKH WA WILAYA YA KAHAMA, MKOANI SHINYANGA, SHEIKH OMAR DAMKA AKIONGOZA WATEJA NA WANANCHI WA KAHAMA WALIOALIKWA KATIKA FUTARI ILIYOANDALIWA NA BENKI YA AZANIA TAWI LA KAHAMA HIVI KARIBUNI KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI KAHAMA.ALHAJ JAHA , AMBAYE NI MMOJA WATEJA WA...

 

9 years ago

StarTV

Zahanati ya NK mjini Kahama yafungwa kwa ukiukwaji wa kanuni za tiba.

Idara ya Afya ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga imeifunga zahanati ya NK inayomilikiwa na Wakorea pamoja na Wachina kwa kukiuka kanuni za utoaji tiba kwa kutoa dawa zilizomaliza muda wake sanjari na mazingira duni ya utunzani wa dawa.

Mapungufu hayo yamebainika wakati wa ukaguzi wa Zahanati hiyo uliofanywa na idara ya afya mjini Kahama kwa lengo la kudhibiti utoaji wa tiba za binadamu.

Halmashauriya mji wa Kahama  ina vituo 34 vya kutoa huduma za afya kwa binadamu, Hospitali 2, vituo vya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh. Lukuvi aweka jiwe la msingi nyumba 50 za gharama nafuu za NHC mjini Kahama

1

Hizi ni miongoni mwa nyumba 50 za gharama nafuu zilizojengwa na NHC katika mtaa wa Bukondamoyo kata ya Mhungula katika halmashauri ya Mji Kahama mkoani Shinyanga. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi ameweka jiwe la msingi katika nyumba hizo.

New Picture (1)

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi nchini Mh.William Vangimembe Lukuvi akiwasili kuweka jiwe la msingi zilizojengwa na NHC eneo la Bukondamoyo Mjini Kahama.

New Picture (2)

Waziri wa Ardhi, Nyumba na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa msaada wa millioni 30 Tshs kwa waathirika wa mafuriko mjini Kahama

IMGP0400

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 , Mkuu wa wilaya ya Kahama Bw. Benson Mpesya (kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko, katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.

IMGP0399

Mkuu wa wilaya ya Kahama, Bw.Benson Mpesya akionyeshwa Baadhi ya vyakula na vifaa vilivyo gharimu milioni 30, na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko, katika kijiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani