Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Michango yasababisha ndugu watatu kukatwa mapanga

 Kamanda wa Polisi Tarime Rorya, Justus KamugishaWATU watatu wa familia moja ya Mzee Nyamachoma Gutu wa Kijiji cha Magoma Kata ya Binagi Tarafa ya Inchage, wamejeruhiwa kwa kukatwa mapanga na nyumba kuchomwa moto na kundi la watu waliodai kuwa ni wanandugu waliokuwa wakikusanya michango ya ndugu ya kusaidia familia ya koo hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

5 wa familia moja wafa kwa kukatwa mapanga

WATU watano wa familia moja akiwemo mtoto wa miezi tisa, wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na ugomvi unaodaiwa kua wa mgogoro wa ardhi katika kijiji cha Kisesa katika Kata ya Bugarama, wilayani Maswa, Mkoani Simiyu.

 

9 years ago

StarTV

Watu wanne wauawa kwa kukatwa mapanga Geita

Watu wanne wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Bugalama Wilaya ya Geita.

Tukio hilo limetokea disemba moja majira ya saa nne usiku likihusishwa na imani za kishirikina ambapo inadaiwa marehemu Mariamu Lushafisha alimuua mumewe Samuel Masebu ambaye alikuwa akionekana mara kwa mara maeneo ya nyumbani na baadhi ya wanandugu wa upande wa kiume kumtuhumu Mariam amemuua kimazingara.

Watu hao wasiofahamika waliingia na mapanga kwenye mji wa Marehemu Samuel Masebu...

 

9 years ago

Michuzi

WATU WANNE WAMEUWAWA KWA KUKATWA NA MAPANGA MKOANI GEITA

Watu wanne wameuwawa kwa kukatwa na mapanga na watu wasiofahamika mkoani Geita kutokana na imani za kishirikina.

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA BRONX NEW YORK NA TANZANIA NDUGU WATANZANIA TUNAOMBA MICHANGO YENU HILI TUWEZE KUMPUMZISHA BABA YETU MPENDWA

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.

Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria ya Makosa ya Mtandao yadaka ndugu watatu

Watu wanne juzi walipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusambaza taarifa za uwongo.

 

10 years ago

Michuzi

NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAKATWA MAPANGA

Stori: Waandishi Wetu Tukio hilo lilitokea Aprili 18, mwaka huu, maeneo ya Mkuranga mkoani Pwani ambapo awali familia hiyo ilipata taarifa kuwa kuna watu wanaonekana kwenye shamba lao wakikata miti na kujipimia maeneo, hali iliyowalazimu kufunga safari ili kujua watu hao walikuwa na lengo gani. Mmoja wa wanafamilia aliyejeruhiwa alitambukika kwa jina moja la Coline. Akizungumza na waandishi wetu, Karim alisema kuwa akiwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kucharangwa mapanga

WATU wasiojulikana wamevamia Kanisa la Pentekoste Assemblies of God ( PAG ) usiku wa kuamkia leo Tawi la Kagemu, Kata ya Kitendaguro Manispaa ya Bukoba na kumuua mwalimu ambaye ni...

 

11 years ago

GPL

AUAWA KIKATILI KWA MAPANGA

Stori: Victor Bariety, Geita
HUU ni unyama! Modester Shija, 55, mkazi wa Kitongoji cha Kamlale, Kijiji cha Nyawilimilwa, wilayani Geita, ameuawa kikatili kwa kukatwa mapanga. Tukio hilo la kuhuzunisha, lilitokea Machi 14, mwaka huu ambapo lilifanywa na watu wasiojulikana wakati mama huyo akiwa jikoni kwake akitayarisha chakula cha usiku. Ilielezwa kuwa siku ya tukio, majira ya saa 1:30 usiku, Modester akiwa jikoni,  walifika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani