Watu wanne wauawa kwa kukatwa mapanga Geita
Watu wanne wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Bugalama Wilaya ya Geita.
Tukio hilo limetokea disemba moja majira ya saa nne usiku likihusishwa na imani za kishirikina ambapo inadaiwa marehemu Mariamu Lushafisha alimuua mumewe Samuel Masebu ambaye alikuwa akionekana mara kwa mara maeneo ya nyumbani na baadhi ya wanandugu wa upande wa kiume kumtuhumu Mariam amemuua kimazingara.
Watu hao wasiofahamika waliingia na mapanga kwenye mji wa Marehemu Samuel Masebu...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ia8Lsb5mfIU/default.jpg)
WATU WANNE WAMEUWAWA KWA KUKATWA NA MAPANGA MKOANI GEITA
9 years ago
StarTV03 Nov
Watu wanne wauawa kwa kucharangwa kwa mapanga.
Watu wanne wamekutwa wameuawa katika kijiji cha Katoma wilayani Bukoba, miili yao ikiwa imecharangwa kwa mapanga na watu wasiofahamika .
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna MSAIDIZI Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba hadi sasa watu waliohusika na mauaji hayo bado hawajatiwa mbaroni.
Matukio hayo yametokea katika kijiji cha Katoma wilaya ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo jumla ya watu wanne wameuawa katika maeneo mawili...
10 years ago
KwanzaJamii20 Aug
WATU WANNE WA FAMILIA MOJA WAUAWA KWA KUKUTWA NA BHANGI
9 years ago
Habarileo30 Sep
5 wa familia moja wafa kwa kukatwa mapanga
WATU watano wa familia moja akiwemo mtoto wa miezi tisa, wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na ugomvi unaodaiwa kua wa mgogoro wa ardhi katika kijiji cha Kisesa katika Kata ya Bugarama, wilayani Maswa, Mkoani Simiyu.
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Watu watano wauawa kikatili Geita
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Mama na mwanawe wauawa kwa mapanga
9 years ago
StarTV15 Nov
Jeshi la Polisi lawashikilia watu wanne kuhusika na Kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA geita
Jeshi la Polisi linawashikilia watu wanne wanaodaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo.
Kifo cha marehemu Mawazo kimetokea jumamosi hii Novemba 14 majira ya saa sita mchana baada ya kuvamiwa na kundi la watu na kuanza kumshambulia kwa silaha za jadi.
Akizungumza na waandishi wa Habari Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo amesema chanzo cha tukio ni kwamba kulikuwa na mkutano wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Og0l_Vwzudk/VcD0J6VTegI/AAAAAAABTKw/4pFqhwd9QhQ/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2Bmkoa%2Bwa%2BMbeya%2BAhmed%2BMsangi.jpg)
WATU WANNE WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KATIKA MAPAMBANO YA KURUSHIANA RISASI NA POLISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Og0l_Vwzudk/VcD0J6VTegI/AAAAAAABTKw/4pFqhwd9QhQ/s640/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2Bmkoa%2Bwa%2BMbeya%2BAhmed%2BMsangi.jpg)
Katika tukio hilo watu wanne wanaume wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa katika majibizano ya kurushiana risasi na Askari Polisi.
Tukio hilo limetokea Agusti 3, 2015 majira ya saa 09.00hrs eneo la Sogea, Kata na Tarafa ya Tunduma Wilaya ya Momba.
Awali watu hao walivamia dukani kwa Thadeo Sanga (50), mfanyabiashara na wakala wa kuuza/kusambaza bia za TBL ,...
11 years ago
Habarileo14 Jun
Michango yasababisha ndugu watatu kukatwa mapanga
WATU watatu wa familia moja ya Mzee Nyamachoma Gutu wa Kijiji cha Magoma Kata ya Binagi Tarafa ya Inchage, wamejeruhiwa kwa kukatwa mapanga na nyumba kuchomwa moto na kundi la watu waliodai kuwa ni wanandugu waliokuwa wakikusanya michango ya ndugu ya kusaidia familia ya koo hiyo.