Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu watano wauawa kikatili Geita

>Watu wanne wakazi wa Kijiji cha Nyankumbu mkoani Geita, wameuawa kikatili kwa kuchomwa moto na mwingine akifia kwenye dimbwi la maji kijijini hapo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Watu wanne wauawa kwa kukatwa mapanga Geita

Watu wanne wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Bugalama Wilaya ya Geita.

Tukio hilo limetokea disemba moja majira ya saa nne usiku likihusishwa na imani za kishirikina ambapo inadaiwa marehemu Mariamu Lushafisha alimuua mumewe Samuel Masebu ambaye alikuwa akionekana mara kwa mara maeneo ya nyumbani na baadhi ya wanandugu wa upande wa kiume kumtuhumu Mariam amemuua kimazingara.

Watu hao wasiofahamika waliingia na mapanga kwenye mji wa Marehemu Samuel Masebu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto wauawa kikatili CAR

Umoja wa Mataifa umebaini taarifa za mauaji ya kikatili wanayofanyiwa watoto katika Jamuhuri ya Afrika ya kati

 

9 years ago

Habarileo

Wanne wauawa kikatili Bukoba

MAUAJI ya kikatili yameibuka tena wilayani Bukoba mkoani Kagera baada ya watu wasiofahamika kusababisha vifo vya watu wanne waliokatwakatwa mapanga na miili yao kufunikwa kwa majani ya migomba, Polisi imesema.

 

11 years ago

Mtanzania

Mama na mtoto wake wauawa kikatili

Arusha Town

Arusha Town

Na Eliya Mbonea, Arusha

MKAZI wa eneo la Baraa Ngulelo, jijini Arusha, Lightness Thomas na mtoto wake wa kike, Joyna Charles (9), wamekutwa wamekufa ndani ya nyumba yao huku vichwa vyao vikiwa vimetobolewa na kitu chenye ncha kali.

Miili ya watu hao iligundulika ndani ya nyumba yao usiku wa Julai 27, mwaka huu, kitandani na kufunikwa blanketi, huku ikiwa imeharibika vibaya.

Akizungumza na MTANZANIA, ndugu wa marehemu ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye gazeti, alidai watu...

 

9 years ago

StarTV

Wachimbaji wadogo watano wafariki Geita

Wachimbaji wadogo watano wamefariki dunia baada ya kufukiwa na vifusi katika maeneo ya Mgusu na Nyanza mkoani Geita.

Matukio hayo yametokea kwa nyakati tofauti ambapo wachimbaji kumi waliingia eneo la Nyanza majira ya saa tisa novemba 28 na wakiwa katika harakati za uchimbaji wakaangukiwa na kifusi huku usiku wa novemba 29 tukio hilo limetokea mgusu na kusababisha wachimbaji hao kufariki.

Maeneo ya Nyanza na Mgusu wanayoingia wachimbaji wadogo kwa ajili ya kujitafutia dhahabu yako chini ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi watano wauawa Afghanistan

Wanajeshi watano wa Afghanistan wameuawa kwa shambulio la anga lililotekelezwa na majeshi ya NATO

 

11 years ago

BBCSwahili

Askari watano wauawa Libya

Watu wenye silaha wameshambulia makao makuu ya jeshi la usalama na kuua askari watano mjini Benghazi, Libya

 

10 years ago

GPL

WATANO WAUAWA KWA VISU JAPAN

Maofisa wa polisi wakiwa eneo ambapo mtu mmoja amewaua watu watano kwa visu huko Sumoto, Japan. WATU watano wameuawa kwa kuchomwa visu wakiwa majumbani mwao katika Mji wa Sumoto uliopo katika Kisiwa cha Awaji, magharibi mwa Japan leo alfajiri. Wanausalama wakikagua eneo yalipotokea mauaji hayo. Kwa mujibu wa polisi, mtu mmoja mwenye umri wa miaka 40 anashikiliwa na polisi kwa kuhusishwa na mauaji hayo. Vyombo vya… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani