Askari watano wauawa Libya
Watu wenye silaha wameshambulia makao makuu ya jeshi la usalama na kuua askari watano mjini Benghazi, Libya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
Wanajeshi watano wauawa Afghanistan
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Watu watano wauawa kikatili Geita
10 years ago
GPLWATANO WAUAWA KWA VISU JAPAN
10 years ago
BBCSwahili26 Dec
Askari watatu wa AU wauawa Somalia
10 years ago
Habarileo24 Nov
Vibaka waua askari, wauawa
WATU watano wanasadikiwa kuwa wamekufa baada ya kuibuka kwa vurugu zinazohusishwa na vibaka katika eneo la Mbagala Kongowe Mzinga katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam. Polisi wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo, ingawa hawakutoa taarifa kamili kwa kuhofia kuharibu uchunguzi na kuahidi kuwa watatoa taarifa kamili ya vurugu hizo leo.
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Askari 15 wa Misri wauawa barabarani
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Wafanyakazi wauawa Libya
11 years ago
BBCSwahili17 May
24 wauawa nchini libya
5 years ago
CCM BlogASKARI 7 WAUAWA KATIKA SHAMBULIZI AFGHANISTAN
Wizara ya Ulinzi imetangaza kwamba wanamgambo walishambulia kituo cha jeshi katika kijiji cha Akazi wilayani Bala Murgab.
Imeelezwa kuwa askari 7 wamepoteza maisha yao na askari 5 wamejeruhiwa katika shambulizi hilo.
Hata hivyo, inasemekana kuwa Taliban nao wamepoteza idadi kubwa ya wanamgambo wao wakati wa shambulizi hilo.