Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wauawa Libya

Habari kutoka Libya zinasema wafanyakazi katika kisima kimoja cha mafuta wameuawa katika shambulio moja Jumanne usiku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

24 wauawa nchini libya

Makabiliano makali nchini Libya yamesababisha vifo vya watu 24 baada ya jeshi la angani la taifa hilo kuanzisha mashambulizi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Askari watano wauawa Libya

Watu wenye silaha wameshambulia makao makuu ya jeshi la usalama na kuua askari watano mjini Benghazi, Libya

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 5 wauawa Benghazi, Libya

Wanajeshi watano wameuawa katika shambulizi la bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na kambi ya jeshi

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa katika vita nchini Libya

Maafisa nchini Libya wanasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika vita mjini Benghazi imeongezeka na kufikia zaidi ya 70.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wa MSF wauawa Kunduz

Shirika la Medecins Sans Frontieres linasema kuwa wafanyakazi wake watatu wameuawa katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wa kikristo waachiwa Libya

Wafanyakazi kumi na watatu Wakristo kutoka Misri wameachiliwa huru baada ya kukamatwa nchini Libya.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi wa hifadhi wauawa kwa mawe

Mhifadhi wa Wanyamapori, George Kimaro na kibarua Antony Andrew wameuawa kwa kupigwa mawe na wananchi katika Kijiji cha Namonge Rwewenzewe mkoani Geita.

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.


Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamaliwatu(DHRN) wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Said Msambachi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Chuo cha Utalii Tanzania, uliofanyika katika Kampasi ya Temeke jijini Dar es Salaam leo kwa niaba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Adelhe Meru.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani,  Rosada Musoma akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Chuo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani