Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi wa MSF wauawa Kunduz

Shirika la Medecins Sans Frontieres linasema kuwa wafanyakazi wake watatu wameuawa katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

MSF yataka uchunguzi huru Kunduz

Shirika la MSF linataka uchunguzi huru ufanywe kubaini aliyerusha mabomu katika hospitali ya shirika hilo Kunduz, Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

MSF sasa yasema watu 42 waliuawa Kunduz

Shirika la madaktari wasio na mipaka (MSF) limesema watu waliouawa kwenye hospitali ya shirika hilo Kunduz, Afhanistan ni 42.

 

10 years ago

BBCSwahili

MSF kuondoa wafanyakazi wake Sudan.K

Shirika la MSF linajiandaa kuwaondoa wafanyakazi wake wa kutoa misaada nchini Sudan kwa sababu maafisa wakuu wanatatiza juhudi zao katika eneo hilo linalokabiliwa na mizozo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wauawa Libya

Habari kutoka Libya zinasema wafanyakazi katika kisima kimoja cha mafuta wameuawa katika shambulio moja Jumanne usiku.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi wa hifadhi wauawa kwa mawe

Mhifadhi wa Wanyamapori, George Kimaro na kibarua Antony Andrew wameuawa kwa kupigwa mawe na wananchi katika Kijiji cha Namonge Rwewenzewe mkoani Geita.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya NATO yawasili Kunduz

Kikosi maalum cha shirika la kujihami la muungano wa mataifa ya Magharibi NATO, kimefika mji wa Kunduz nchini Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taliban lafurushwa Kunduz

Maafisa wa Afghanistan wanasema kuwa wamedhibiti maeneo muhimu ya mji wa kaskazini wa Kunduz kutoka kwa wapiganaji wa Taliban.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taliban lashambulia Kunduz

Mamia ya wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika mji wa Kunduz uliopo kaskazini mwa Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Afghanistan wajaribu kukomboa Kunduz

Wanajeshi nchini Afghanistan wanajizatiti kujaribu kuukomboa mji wa Kunduz, uliotekwa na wapiganaji wa Taliban.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani