Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSF yataka uchunguzi huru Kunduz

Shirika la MSF linataka uchunguzi huru ufanywe kubaini aliyerusha mabomu katika hospitali ya shirika hilo Kunduz, Afghanistan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wafanyakazi wa MSF wauawa Kunduz

Shirika la Medecins Sans Frontieres linasema kuwa wafanyakazi wake watatu wameuawa katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan

 

9 years ago

BBCSwahili

MSF sasa yasema watu 42 waliuawa Kunduz

Shirika la madaktari wasio na mipaka (MSF) limesema watu waliouawa kwenye hospitali ya shirika hilo Kunduz, Afhanistan ni 42.

 

9 years ago

Habarileo

UVCCM yataka uchunguzi wa kina uchaguzi uliofutwa

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume huru kuchunguza kwa kina suala la uchaguzi uliofutwa. Kadhalika umetaka tume hiyo ichunguze uendeshwaji wa zabuni ya karatasi za kupigia kura ulivyofanyika hadi kupatikana mzabuni na taarifa yake itolewe kwa umma.

 

5 years ago

CHADEMA Blog

11 years ago

Mwananchi

HURU: Washtakiwa Kesi ya Tabata Dampo huru

>Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa Ilala, John Lubuva na wenzake wanne waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara, wameibuka kidedea katika kesi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taliban lafurushwa Kunduz

Maafisa wa Afghanistan wanasema kuwa wamedhibiti maeneo muhimu ya mji wa kaskazini wa Kunduz kutoka kwa wapiganaji wa Taliban.

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya NATO yawasili Kunduz

Kikosi maalum cha shirika la kujihami la muungano wa mataifa ya Magharibi NATO, kimefika mji wa Kunduz nchini Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kundi la Taliban lashambulia Kunduz

Mamia ya wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika mji wa Kunduz uliopo kaskazini mwa Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Afghanistan wajaribu kukomboa Kunduz

Wanajeshi nchini Afghanistan wanajizatiti kujaribu kuukomboa mji wa Kunduz, uliotekwa na wapiganaji wa Taliban.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani