UVCCM yataka uchunguzi wa kina uchaguzi uliofutwa
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume huru kuchunguza kwa kina suala la uchaguzi uliofutwa. Kadhalika umetaka tume hiyo ichunguze uendeshwaji wa zabuni ya karatasi za kupigia kura ulivyofanyika hadi kupatikana mzabuni na taarifa yake itolewe kwa umma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
MH370:Uchunguzi wa kina waanza Ufaransa
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
MSF yataka uchunguzi huru Kunduz
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
9 years ago
Mwananchi05 Sep
UVCCM yataka Ukawa wasitafute mchawi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vQkUiWH6VIM/Xp6j2rfYjHI/AAAAAAAAyTw/94a9X8uvhNkZkfLcrALwEOXzwz3Yu9rSQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
UVCCM YATAKA VYAMA KUSHIRIKIANA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vQkUiWH6VIM/Xp6j2rfYjHI/AAAAAAAAyTw/94a9X8uvhNkZkfLcrALwEOXzwz3Yu9rSQCLcBGAsYHQ/s400/download.jpg)
Wito huo ulitolewa juzi jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa UVCCM wa mkoa huo, Mussa Kilakala wakati akikabidhi vifaa vya kujikinga na virusi hivyo kwa viongozi wa wilaya yakiwamo matenki kwa ajili ya kuhifadhia maji ya kunawia, sabuni, vitakasa...
9 years ago
Mwananchi07 Dec
UVCCM yataka Magufuli asiteue ‘mbu na inzi’
10 years ago
Habarileo24 Feb
UVCCM yataka wanaoua albino wasakwe kila kona
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Lindi limeitaka Serikali kuendelea kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuhusika na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iJqUyq9_jrU/VRKEyGtu-UI/AAAAAAAHNFA/QIXk0XERBms/s72-c/g3.jpg)
Maalim Seif alitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kujua waliochoma moto ofisi ya CUF jimbo la Dimani
Maalim Seif amesema hayo wakati alipotembelea ofisi hizo zilizoteketezwa kabisa kwa moto, tukio lililofanywa na watu wasiojuilikana juzi usiku, huko katika eneo la Kisauni Wilaya ya Magharibi Unguja.
Katibu Mkuu wa CUF amesema tukio hilo ni la kusikitisha...