Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM yataka Magufuli asiteue ‘mbu na inzi’

Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), umemtahadharisha Rais John Magufuli kwenye uteuzi wa mawaziri ukisema anaweza kuingiza ‘mbu na inzi’ wakaharibu utamu wote wa Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UVCCM yataka Ukawa wasitafute mchawi

Katibu Hamasa, Sera, Utafiti na Mawasiliano Umoja wa Vijana wa CCM, Egla Mamoto amesema Ukawa wasitafute mchawi kwa kuwa wanavurugana wenyewe kwa wenyewe.

 

9 years ago

Habarileo

UVCCM yataka uchunguzi wa kina uchaguzi uliofutwa

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume huru kuchunguza kwa kina suala la uchaguzi uliofutwa. Kadhalika umetaka tume hiyo ichunguze uendeshwaji wa zabuni ya karatasi za kupigia kura ulivyofanyika hadi kupatikana mzabuni na taarifa yake itolewe kwa umma.

 

5 years ago

CCM Blog

UVCCM YATAKA VYAMA KUSHIRIKIANA KUKABILIANA NA CORONA

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, umeitaka jamii vikiwamo vyama vya siasa nchini kushikama na serikali ili kusaidia katika mapambano ya kutokomeza janga la virusi vya corona ambalo limeendelea kusumbua dunia.

Wito huo ulitolewa juzi jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa UVCCM wa mkoa huo, Mussa Kilakala wakati akikabidhi vifaa vya kujikinga na virusi hivyo kwa viongozi wa wilaya yakiwamo matenki kwa ajili ya kuhifadhia maji ya kunawia, sabuni, vitakasa...

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM yataka wanaoua albino wasakwe kila kona

BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Lindi limeitaka Serikali kuendelea kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuhusika na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini.

 

9 years ago

Mtanzania

UVCCM walia na Ukawa kumsusa Magufuli

hamduNA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

UMOJA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), umesikitishwa na vitendo vya  wabunge wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) bungeni muda mfupi kabla ya Rais Dk. Magufuli kulifungua rasmi Bunge la 11 mwishoni mwa wiki.

Wabunge hao wa Ukawa waliwazomea baadhi ya viongozi walioongozana na Rais Dk. John Magufuli na kuamriwa  na Spika wa Bunge Job Ndugai watoke nje.

Wabunge hao wa upinznai walifanya hivyo kama hatua ya   kutokubaliana na   kufutwa  ...

 

9 years ago

Habarileo

UVCCM yampa tano Rais Magufuli

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umesema unaunga mkono kasi ya utekelezaji kazi wa serikali ya awamu ya tano, chini ya Rais John Magufuli na kwamba anachofanyika sasa ndio kiu ya Watanzania.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,wajua mbu husherehekewa Urusi?

Watu wengi wanawachukia, lakini mbu sasa husherekewa kwa tamasha la kipekee katika mji mmoja huko Urusi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mbu waanza kuvamia Uingereza

Kutokana na mabadiliko ya mazingira, Mbu wakiwemo wenye uwezo wa kuambukiza ugonjwa wa Malaria na virusi vijulikanavyo kama 'West Nile virus' wameanza kuvamia Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani