Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbu waanza kuvamia Uingereza

Kutokana na mabadiliko ya mazingira, Mbu wakiwemo wenye uwezo wa kuambukiza ugonjwa wa Malaria na virusi vijulikanavyo kama 'West Nile virus' wameanza kuvamia Uingereza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee wa Ngwasuma kuvamia Moro, Dom

BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ wanatarajiwa kufanya ziara katika mikoa ya Morogoro, Dodoma na Mwanza kwa ajili ya kutambulisha albamu yao mpya ya ‘Chuki...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Moto Bendi kuvamia Mbeya Sept. 12

BAADA ya kufanya shoo kadhaa jijini Dar es salaam, bendi inayokuja kwa kasi hapa nchini, Yamoto Band, wanatarajia kutoa burudani ya aina yake, jijini Mbeya Septemba 12 katika Ukumbi wa...

 

10 years ago

StarTV

Panya wadaiwa kuvamia mashamba Iringa.

Na Oliver Motto,

Iringa.

 
Panya wa ajabu wanadaiwa kuvamia mashamba ya wakulima wa vijiji vilivyopo katika halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kula mazao yote yaliyopandwa katika msimu huu wa kilimo.

 

Uvamizi huu unafanya matarajio ya mavuno ya wakulima kuwa mashakani baada ya mazao yao kushambuliwa na wanyama hao waharibifu hasa Mahindi ambayo ni zao tegemeo kubwa la wakulima wa Wilaya ya Iringa.
Panya hao wanadaiwa kula mbegu zilizopandwa wakati mazao yaliyomea yakikatwa na kuchimbwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM atishia kuvamia mgodini

MBUNGE wa Tarime mkoani Mara, Nyambari Nyangwine (CCM), ametishia kuongoza maandamano kuvamia mgodi wa dhahabu wa North Mara unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold (ABG), ikiwa wakazi wa Kijiji...

 

10 years ago

Mtanzania

Wazee Simba kuvamia kambi ya wachezaji

Pg 32MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
BAADA ya Simba kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City juzi, wazee wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kupanga kutinga kwenye kambi ya timu hiyo iliyopo Ndege Beach Dar es Salaam, ili kuzungumza na wachezaji kujua tatizo linalosababisha kuvurunda katika ligi.
Simba msimu huu imeshindwa kufanya vema katika mechi zake mbalimbali za ligi, ambapo kwa sasa inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo hali ambayo imewakasirisha kwa kiasi...

 

10 years ago

Habarileo

5 Kortini kwa kuvamia baa na kumuua mmiliki

WAKAZI watano wa Kijiji cha Turugeti, katika Kata ya Bumera wilayani Tarime mkoani Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya hiyo na kusomewa mashitaka ya kuvamia baa katika Kijiji cha Kitenga na kumuua mmiliki wa baa hiyo, Muruga Nyasulwa.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM Kwembe wadaiwa kuvamia eneo la mjane

Viongozi wa CCM, Tawi la Kwembe wilayani Kinondoni wanadaiwa kuvamia eneo la mjane na kung’oa nguzo za mpaka wa eneo lake pamoja na kukatakata miti.

 

11 years ago

Michuzi

ankal aadhibiwa kwa kuvamia mnuso wa watu...

Ankal akiwa na wadau katika mnuso mmoja hivi karibuni jijini Dar es salaam, akionesha madhara ya kuvunja geti (gate crash) maana dress code ilikuwa kanzu na koti na makubadhi. Yeye kaulamba kivingine, adhabu yake ikawa kuchukuliwa kwa taswira hii ili iwe fundisho kwake na kwa wengine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani