Panya wadaiwa kuvamia mashamba Iringa.
Na Oliver Motto,
Iringa.
Panya wa ajabu wanadaiwa kuvamia mashamba ya wakulima wa vijiji vilivyopo katika halmashauri ya Wilaya ya Iringa na kula mazao yote yaliyopandwa katika msimu huu wa kilimo.
Uvamizi huu unafanya matarajio ya mavuno ya wakulima kuwa mashakani baada ya mazao yao kushambuliwa na wanyama hao waharibifu hasa Mahindi ambayo ni zao tegemeo kubwa la wakulima wa Wilaya ya Iringa.
Panya hao wanadaiwa kula mbegu zilizopandwa wakati mazao yaliyomea yakikatwa na kuchimbwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Dec
CCM Kwembe wadaiwa kuvamia eneo la mjane
9 years ago
StarTV07 Jan
Wakazi Jirarani, Naisinyai Simanjiro wadaiwa kuvamia mgodi
Wakazi wa Kijiji cha Jirarani na mgodi wa Madini ya Tanzanite cha Naisinyai wilayani Simanjiro wanadaiwa kuvamia eneo la mgodi huo na kuzuia njia ya kuelekea lango kuu la mgodi pamoja na kufanya uharibifu wa miundombinu ya maji kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga zoezi linaloendelea la upunguzwaji wa wafanyakazi wa mgodi huo.
Mashuhuda wanasema takribani watu mia moja wanaotajwa kuwa na asili ya wafugaji wa kimaasai wamezingira eneo hilo kabla ya vikosi vya ulinzi vya polisi kuwataka...
11 years ago
BBCSwahili21 May
Mbu waanza kuvamia Uingereza
11 years ago
Michuzi09 Mar
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Ya Moto Bendi kuvamia Mbeya Sept. 12
BAADA ya kufanya shoo kadhaa jijini Dar es salaam, bendi inayokuja kwa kasi hapa nchini, Yamoto Band, wanatarajia kutoa burudani ya aina yake, jijini Mbeya Septemba 12 katika Ukumbi wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mbunge CCM atishia kuvamia mgodini
MBUNGE wa Tarime mkoani Mara, Nyambari Nyangwine (CCM), ametishia kuongoza maandamano kuvamia mgodi wa dhahabu wa North Mara unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold (ABG), ikiwa wakazi wa Kijiji...
10 years ago
Mtanzania30 Jan
Wazee Simba kuvamia kambi ya wachezaji
MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
BAADA ya Simba kupokea kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City juzi, wazee wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kupanga kutinga kwenye kambi ya timu hiyo iliyopo Ndege Beach Dar es Salaam, ili kuzungumza na wachezaji kujua tatizo linalosababisha kuvurunda katika ligi.
Simba msimu huu imeshindwa kufanya vema katika mechi zake mbalimbali za ligi, ambapo kwa sasa inashika nafasi ya 11 kwenye msimamo hali ambayo imewakasirisha kwa kiasi...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Wazee wa Ngwasuma kuvamia Moro, Dom
BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ wanatarajiwa kufanya ziara katika mikoa ya Morogoro, Dodoma na Mwanza kwa ajili ya kutambulisha albamu yao mpya ya ‘Chuki...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HGi2GKk4aew/VMj4q71nF3I/AAAAAAAG_60/vvTidS0UO4E/s72-c/Flag-Pins-Tanzania-European-Union.jpg)
Launch of the European Union Supported "Usafi Iringa-Iringa Sanitation" Project
![](http://3.bp.blogspot.com/-HGi2GKk4aew/VMj4q71nF3I/AAAAAAAG_60/vvTidS0UO4E/s1600/Flag-Pins-Tanzania-European-Union.jpg)
With funding from the European Union, ACRA-CCS Foundation, in partnership with Iringa Municipal Council, Iringa Urban Water and Sanitation Authority (IRUWASA), local (MAMADO, IDYDC) and international...