UVCCM yataka Ukawa wasitafute mchawi
Katibu Hamasa, Sera, Utafiti na Mawasiliano Umoja wa Vijana wa CCM, Egla Mamoto amesema Ukawa wasitafute mchawi kwa kuwa wanavurugana wenyewe kwa wenyewe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo21 Nov
Majaliwa ataka wabunge wasitafute mchawi
WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, amesema uchaguzi umekwisha na kuwataka wabunge waende wakashirikiane na wananchi kufanya kazi badala ya kutafuta mchawi.
9 years ago
Mwananchi07 Dec
UVCCM yataka Magufuli asiteue ‘mbu na inzi’
9 years ago
Habarileo01 Nov
UVCCM yataka uchunguzi wa kina uchaguzi uliofutwa
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume huru kuchunguza kwa kina suala la uchaguzi uliofutwa. Kadhalika umetaka tume hiyo ichunguze uendeshwaji wa zabuni ya karatasi za kupigia kura ulivyofanyika hadi kupatikana mzabuni na taarifa yake itolewe kwa umma.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-vQkUiWH6VIM/Xp6j2rfYjHI/AAAAAAAAyTw/94a9X8uvhNkZkfLcrALwEOXzwz3Yu9rSQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
UVCCM YATAKA VYAMA KUSHIRIKIANA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-vQkUiWH6VIM/Xp6j2rfYjHI/AAAAAAAAyTw/94a9X8uvhNkZkfLcrALwEOXzwz3Yu9rSQCLcBGAsYHQ/s400/download.jpg)
Wito huo ulitolewa juzi jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa UVCCM wa mkoa huo, Mussa Kilakala wakati akikabidhi vifaa vya kujikinga na virusi hivyo kwa viongozi wa wilaya yakiwamo matenki kwa ajili ya kuhifadhia maji ya kunawia, sabuni, vitakasa...
10 years ago
Habarileo24 Feb
UVCCM yataka wanaoua albino wasakwe kila kona
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Lindi limeitaka Serikali kuendelea kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuhusika na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini.
11 years ago
Tanzania Daima09 May
UVCCM: JK usiwabembeleze UKAWA
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) imesema inaamini katiba mpya itapatikana bila kuwepo kwa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Hivyo, jumuiya...
10 years ago
Daily News15 Aug
UVCCM leader takes swipe at UKAWA
Daily News
Daily News
THE Chama Cha Mapinduzi's Youth Wing (UVCCM) Publicity and Pioneers Secretary, Mr Paul Makonda, said that the move by some opposition parties to boycott the Constituent Assembly sessions is manifestation of a high level of selfishness. Mr Makonda ...
9 years ago
Mtanzania23 Nov
UVCCM walia na Ukawa kumsusa Magufuli
NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
UMOJA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), umesikitishwa na vitendo vya wabunge wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) bungeni muda mfupi kabla ya Rais Dk. Magufuli kulifungua rasmi Bunge la 11 mwishoni mwa wiki.
Wabunge hao wa Ukawa waliwazomea baadhi ya viongozi walioongozana na Rais Dk. John Magufuli na kuamriwa na Spika wa Bunge Job Ndugai watoke nje.
Wabunge hao wa upinznai walifanya hivyo kama hatua ya kutokubaliana na kufutwa ...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
UVCCM: Green Guard iwashughulikie Ukawa ikiwa...