UVCCM: Green Guard iwashughulikie Ukawa ikiwa...
Katibu wa Uhamashaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Paul Makonda amekiagiza kikundi cha Ulinzi cha CCM (Green Guard) ‘kuwashughulikia’ wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) watakaowatukana waasisi wa Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Kwa hili la ‘Green Guard’ Nape asiturudishe nyuma
MIEZI kadhaa iliyopita watu wengi waliacha kufanya mambo mengine ya muhimu na kujikita kujadili matumizi ya vikundi vya ulinzi katika vyama vya siasa. Kama ilivyo kawaida ya mambo ya siasa,...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
UVCCM: JK usiwabembeleze UKAWA
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) imesema inaamini katiba mpya itapatikana bila kuwepo kwa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Hivyo, jumuiya...
9 years ago
Mtanzania23 Nov
UVCCM walia na Ukawa kumsusa Magufuli
NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
UMOJA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), umesikitishwa na vitendo vya wabunge wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) bungeni muda mfupi kabla ya Rais Dk. Magufuli kulifungua rasmi Bunge la 11 mwishoni mwa wiki.
Wabunge hao wa Ukawa waliwazomea baadhi ya viongozi walioongozana na Rais Dk. John Magufuli na kuamriwa na Spika wa Bunge Job Ndugai watoke nje.
Wabunge hao wa upinznai walifanya hivyo kama hatua ya kutokubaliana na kufutwa ...
9 years ago
Mwananchi05 Sep
UVCCM yataka Ukawa wasitafute mchawi
10 years ago
Daily News15 Aug
UVCCM leader takes swipe at UKAWA
Daily News
Daily News
THE Chama Cha Mapinduzi's Youth Wing (UVCCM) Publicity and Pioneers Secretary, Mr Paul Makonda, said that the move by some opposition parties to boycott the Constituent Assembly sessions is manifestation of a high level of selfishness. Mr Makonda ...
10 years ago
Mwananchi21 May
Sheria iwashughulikie waliotajwa na CAG
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
10 years ago
TheCitizen25 Apr
Let’s guard Media Freedom
11 years ago
New Vision18 Jun
Guard children's education right...
New Vision
New Vision
Beyond the commemoration, the Day of African Child seeks to draw the attention of all actors involved in ensuring that children enjoy their rights; Governments, international institutions, CSOs and communities to reflect on the prevailing situation of children in ...
All Children Must Enjoy the Right to EducationAllAfrica.com
all 2