Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM: Green Guard iwashughulikie Ukawa ikiwa...

Katibu wa Uhamashaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Paul Makonda amekiagiza kikundi cha Ulinzi cha CCM (Green Guard) ‘kuwashughulikia’ wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) watakaowatukana waasisi wa Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa hili la ‘Green Guard’ Nape asiturudishe nyuma

MIEZI kadhaa iliyopita watu wengi waliacha kufanya mambo mengine ya muhimu na kujikita kujadili matumizi ya vikundi vya ulinzi katika vyama vya siasa. Kama ilivyo kawaida ya mambo ya siasa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM: JK usiwabembeleze UKAWA

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) imesema inaamini katiba mpya itapatikana bila kuwepo kwa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Hivyo, jumuiya...

 

9 years ago

Mtanzania

UVCCM walia na Ukawa kumsusa Magufuli

hamduNA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM

UMOJA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), umesikitishwa na vitendo vya  wabunge wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) bungeni muda mfupi kabla ya Rais Dk. Magufuli kulifungua rasmi Bunge la 11 mwishoni mwa wiki.

Wabunge hao wa Ukawa waliwazomea baadhi ya viongozi walioongozana na Rais Dk. John Magufuli na kuamriwa  na Spika wa Bunge Job Ndugai watoke nje.

Wabunge hao wa upinznai walifanya hivyo kama hatua ya   kutokubaliana na   kufutwa  ...

 

9 years ago

Mwananchi

UVCCM yataka Ukawa wasitafute mchawi

Katibu Hamasa, Sera, Utafiti na Mawasiliano Umoja wa Vijana wa CCM, Egla Mamoto amesema Ukawa wasitafute mchawi kwa kuwa wanavurugana wenyewe kwa wenyewe.

 

10 years ago

Daily News

UVCCM leader takes swipe at UKAWA


Daily News
UVCCM leader takes swipe at UKAWA
Daily News
THE Chama Cha Mapinduzi's Youth Wing (UVCCM) Publicity and Pioneers Secretary, Mr Paul Makonda, said that the move by some opposition parties to boycott the Constituent Assembly sessions is manifestation of a high level of selfishness. Mr Makonda ...

 

10 years ago

Mwananchi

Sheria iwashughulikie waliotajwa na CAG

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amewasilisha ripoti ya tano za ukaguzi wa fedha kwa mwaka ulioishia Juni 30, 2014 akibainisha ufisadi wa zaidi ya Sh600 bilioni katika maeneo mbalimbali na matumizi ya fedha ambayo hayana maelezo ya kutosha.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Let’s guard Media Freedom

According to the 2014 Afrobarometer Survey released in Dar es Salaam on Thursday, Tanzania is among the harshest territories for publishing companies, researchers, ordinary people and academicians.

 

11 years ago

New Vision

Guard children's education right...


New Vision
Guard children's education right...
New Vision
Beyond the commemoration, the Day of African Child seeks to draw the attention of all actors involved in ensuring that children enjoy their rights; Governments, international institutions, CSOs and communities to reflect on the prevailing situation of children in ...
All Children Must Enjoy the Right to EducationAllAfrica.com

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani