Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MH370:Uchunguzi wa kina waanza Ufaransa

Watalamu kutoka Ufaransa, Malaysia na Australia wameanza kuchunguza mabaki ya bawa la ndege kubaini uhusiano na ile iliyotoweka ya MH370

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mabaki ya MH370 yasafirishwa Ufaransa

Mabaki yanayoaminika kutoka kwa ndege iliyotoweka ya shirika la ndege la Malaysia yamesafirishwa kwenda nchini Ufaransa

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi: Uchunguzi wa kina kuhusu ndege

Wachunguzi wa ile ndege ya Urusi iliyoanguka nchini Misri, wanasema kuwa watatumia kila mbinu ili kubaini kilichosababisha ajali hiyo

 

9 years ago

Habarileo

UVCCM yataka uchunguzi wa kina uchaguzi uliofutwa

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuunda tume huru kuchunguza kwa kina suala la uchaguzi uliofutwa. Kadhalika umetaka tume hiyo ichunguze uendeshwaji wa zabuni ya karatasi za kupigia kura ulivyofanyika hadi kupatikana mzabuni na taarifa yake itolewe kwa umma.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchunguzi wa ufisadi waanza

Timu ya kuchunguza ubadhirifu wa fedha kwa vyama vya ushirika vya tumbaku mkoani Tabora imesema haihusiki na kuwashtaki watuhumiwa, bali kazi yake ni kutoa mapendekezo serikalini.

 

10 years ago

CloudsFM

KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI

Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi waanza Ufaransa

Kura ya maoni inaonyesha kuwa chama cha mrengo wa kulia National Front, kina umaarufu mkubwa, katika uchaguzi huo hasa katika maeneo ya kaskazini mashariki

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif alitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kujua waliochoma moto ofisi ya CUF jimbo la Dimani

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amelitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kuwajua watu waliohusika kuchoma moto ofisi za chama hicho jimbo la Dimani na baadaye wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.
Maalim Seif amesema hayo wakati alipotembelea ofisi hizo zilizoteketezwa kabisa kwa moto, tukio lililofanywa na watu wasiojuilikana juzi usiku, huko katika eneo la Kisauni Wilaya ya Magharibi Unguja.
Katibu Mkuu wa CUF amesema tukio hilo ni la kusikitisha...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa mazingira COP21 waanza Ufaransa

Viongozi wa dunia wanaanza mazungumzo muhimu ya wiki mbili yanayonua kufikia makubaliano ya kudhibiti ongezeko la joto duniani.

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDDI AMEMUAGIZA MKURUGENZI WA ‘ZAWA’ KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA NA KUWACHUKULIA HATUA ZA NIDHAMU KWA MUJIBU WA SHERIA WATENDAJI WA MAMLAKA HIYO.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.Mmiliki wa Kiwanja cha nyumba ya Ghorofa Mlandege Bwana Anuari Abdullah akijitetea kupata kibali kinachomruhusu kuendeleza ujenzi wa nyumba yake.
 Baadhi ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakitafakari na kufurahia maamuzi yaliyochukuliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani