Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkutano wa mazingira COP21 waanza Ufaransa

Viongozi wa dunia wanaanza mazungumzo muhimu ya wiki mbili yanayonua kufikia makubaliano ya kudhibiti ongezeko la joto duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wajumbe ‘waafikiana’ mkutano wa COP21 Paris

Waandalizi wa mkutano kuhusu mabadiliko ya tabia nchi mjini Paris wanasema mswada wa mkataba mpya umeafikiwa baada ya karibu wiki mbili za mazungumzo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi waanza Ufaransa

Kura ya maoni inaonyesha kuwa chama cha mrengo wa kulia National Front, kina umaarufu mkubwa, katika uchaguzi huo hasa katika maeneo ya kaskazini mashariki

 

10 years ago

BBCSwahili

MH370:Uchunguzi wa kina waanza Ufaransa

Watalamu kutoka Ufaransa, Malaysia na Australia wameanza kuchunguza mabaki ya bawa la ndege kubaini uhusiano na ile iliyotoweka ya MH370

 

11 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yazongwa na mazingira chafu

Serikali ya Ufaransa imezindua mfumo wa kuendesha magari kwa siku maalum jijini Paris, kama njia ya kujaribu kupunguza uchafuzi mkubwa wa mzingira

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YA TANZANIA KUSHIRIKIANA NA UFARANSA KATIKA MAZINGIRA


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akisalimiana na Maseneta kutoka Ufaransa waliomtembelea Ofisini kwake Luthuli katika jiji la Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiskiliza kwa makini wakati alipokutana na Maseneta kutoka Ufaransa waliotembelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Kiongozi wa Maseneta hao Senator Hervé Maurey. Sehemu ya...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL, MOJIFA WAANZA USHIRIKA WA KUTUNZA MAZINGIRA ARUSHA‏

Mkuu wa shule ya sekondari Sing’isi mwalimu, Upendo Kanana akipanda mti katika viwanja vya shule ya sekondari Sing’isi wakati wa siku maalumu ya upandaji miti zoezi lililoendeshwa na wafanyakazi wa kampuni ya AIRTEL Arusha  huku wanafunzi wa shule hiyo nao wakishiriki tendo hilo jana Na Mwandishi wetu.
Kampuni ya simu za mkononi Airtel kwa kushirikiana taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na shughulu za...

 

9 years ago

Michuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mh. Dk. Binilith Mahenge akutana na mabalozi wa Uswisi na Ufaransa

Waziri wa  Nchi  Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Mh. Dk. Binilith Mahenge (wa kwanza kushoto), akijadiliana  na Balozi wa Uswisi  nchini, Bi Florence Tinguely Mattli (katikati),  kuhusu Mkataba wa Mazingira wa Minamata unaohusu matumizi ya Kemikali ya Zebaki na Madhara yake katika Mazingira, Majadilaino hayo yamefanyika katika Ofisi ya Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na  Katibu Mkuu wa Ofis hiyo Bw. Sazi Salula (kulia), jijini Dar es...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL NA MOJIFA WAANZA USHIRIKA WA KUTUNZA MAZINGIRA MIKOANI... WAANZIA ARUSHA‏

Mkuu wa shule ya sekondari Sing’isi mwalimu Upendo Kanana akipanda mti katika viwanja vya shule ya sekondari Sing’isi wakati wa siku maalumu ya upandaji miti zoezi lililoendeshwa na wafanyakazi wa kampuni ya AIRTEL Arusha  huku wanafunzi wa shule hiyo nao wakishiriki tendo hilo jana Kampuni ya simu za mkononi Airtel kwa kushirikiana taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na shughulu za utunzaji wa mazingira...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa usalama kufanyika Ufaransa

Mawaziri wa masuala ya ndani wa nchi za ulaya kukutana mjini Paris kujadili njia za kuboresha usalama kwenye usafiri wa reli

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani