Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe ‘waafikiana’ mkutano wa COP21 Paris

Waandalizi wa mkutano kuhusu mabadiliko ya tabia nchi mjini Paris wanasema mswada wa mkataba mpya umeafikiwa baada ya karibu wiki mbili za mazungumzo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wajumbe wa mkutano wa Paris waganyika

Tofauti kubwa kati ya mataifa tajiri na yale yanayoendelea imejitokeza katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi mjini Paris.

 

9 years ago

BBCSwahili

COP21: Maandamano viongozi 145 wakitua Paris

Takriban viongozi 150 kutoka kote ulimwenguni wanatarajiwa kuwasili nchini Ufaransa leo tayari kwa mkutano wa dunia wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga duniani.

 

9 years ago

Dewji Blog

MODEWJIBLOG LIVE IN PARIS: Katika maandamano ya amani – mwitikio rasmi wa mkataba wa COP21!!

DSC_4634

Baadhi ya waandamanaj  ambao ni wanaharakati na  makundi ya kijamii yanayopigania upatikanaji wa haki kwenye sualla la mazingira hasa Mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) wakiwa katika jiji la Paris katika maandamano ya kihistoria wakishinikiza Mataifa tajiri na yenye viwanda kuakikisha wanapunguza joto hadi kufikia nyuzi joto 1.5 hapo baadae. Maandamano hayo yalianzia katikati ya jiji la Paris na kuishia kwenye viwanja vya Mnara maarufu katika jiji hili wa Eiffel tower. (Picha zote na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa mazingira COP21 waanza Ufaransa

Viongozi wa dunia wanaanza mazungumzo muhimu ya wiki mbili yanayonua kufikia makubaliano ya kudhibiti ongezeko la joto duniani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano Paris kuhitaji siku moja zaidi

Washiriki katika mkutano mkuu kuhusu mabadiliko ya tabia nchini mjini Paris wamesema watahitaji siku moja zaidi kufanikisha makubaliano.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanasayansi zaidi ya 2000 washiriki mkutano wa tabianchi, Paris Ufaransa

Royal CfCC15.jpgwPichani: Baadhi ya Wanasayansi wakifuatilia mawasilisho ya wanasayansi wenzao yaliyokuwa yakiwasilishwa katika mkutani huo ulioanza Julai 7 na kumalizika Julai 10, mwaka huu katika  ukumbi mkubwa wa makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Paris, Ufaransa] Wanasayansi zaidi ya 2500, kutoka pembe zote duniani wamekutana katika  mkutano mkubwa wa wanayasansi juu ya siku za usoni na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ‘Our Common Future Under Climate Change’....

 

10 years ago

Mwananchi

Dk John Pombe Magufuli azungumza na wajumbe wa mkutano Mkuu

Dk Magufuli: Mnitume nikafanye kazi ya kukilinda chama na kuleta maendeleo

 

11 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Michuzi

wajumbe wanawake wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba wakutana mjini Dodoma

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda(kushoto) na Makamu Mwenyekiti wa Wabunge wanawake Suzan Lyimo(kulia) wakibadlishana mawazo  mjini Dodoma wakati wa semina kwa wajumbe wanawake wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba inaliyoandaliwa na Tanzania Women Cross Party Platform yenye lengo la kuwaelimisha juu ya kutetea haki za wanawake kuingizwa katika rasimu ya Katiba mpya.  Mwenyekiti wa Wabunge wanawake Anna Abdallah (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa kwa wajumbe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani