Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COP21: Maandamano viongozi 145 wakitua Paris

Takriban viongozi 150 kutoka kote ulimwenguni wanatarajiwa kuwasili nchini Ufaransa leo tayari kwa mkutano wa dunia wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

MODEWJIBLOG LIVE IN PARIS: Katika maandamano ya amani – mwitikio rasmi wa mkataba wa COP21!!

DSC_4634

Baadhi ya waandamanaj  ambao ni wanaharakati na  makundi ya kijamii yanayopigania upatikanaji wa haki kwenye sualla la mazingira hasa Mabadiliko ya tabianchi (Climate Change) wakiwa katika jiji la Paris katika maandamano ya kihistoria wakishinikiza Mataifa tajiri na yenye viwanda kuakikisha wanapunguza joto hadi kufikia nyuzi joto 1.5 hapo baadae. Maandamano hayo yalianzia katikati ya jiji la Paris na kuishia kwenye viwanja vya Mnara maarufu katika jiji hili wa Eiffel tower. (Picha zote na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wajumbe ‘waafikiana’ mkutano wa COP21 Paris

Waandalizi wa mkutano kuhusu mabadiliko ya tabia nchi mjini Paris wanasema mswada wa mkataba mpya umeafikiwa baada ya karibu wiki mbili za mazungumzo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano ya umoja yaanza Paris.

Makumi ya viongozi wa nchi tofauti duniani wako mji Paris ambapo usalama umeimarishwa ili kuonyesha umoja dhidi ya ugaidi

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini wakemea maandamano

WAKATI baadhi ya vyama vya siasa nchini, vikiendelea kuhamasisha maandamano nchi nzima kwa ajili ya kupinga vikao vya Bunge Maalum la Katiba, Kamati ya Amani ya Mkoa wa Dar es Salaam inayoundwa na viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali, imewaonya watanzania kujihusisha na maandamano hayo ili kunusuru vurugu zinazoweza kusababisha vifo na kutoweka kwa amani, lakini pia kuliletea aibu taifa.

 

11 years ago

GPL

5 years ago

NewsBTC

Ethereum Is Still In Larger Uptrend Above $145: Here’s Why

Ethereum Is Still In Larger Uptrend Above $145: Here’s Why  newsBTCEthereum Investor Optimism Builds, Setup for a Long Squeeze  Crypto BriefingEthereum Price Analysis - On-chain fundamentals increasing  Brave New CoinKey Data Shows Ethereum Sellers Are Poised to Pounce: Is a Dump Imminent?  newsBTCEthereum (ETH) Price Analysis: ETH Struggles To Break $172 After Epic 20% Weekly Surge – Where To Next?  CoingapeView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Bongo5

Beyonce na Jay Z kununua mjengo huu, una thamani ya shilingi bilioni 145 (Picha)

Mwaka 2014, Beyonce peke yake aliingiza zaidi ya dola milioni 115 na Jay Z aliingiza zaidi ya dola milioni 60 na hivyo si kitu cha kushangaza kama wanandoa hao wenye nguvu wakitoa dola milioni 85, kununua mjengo wa kifahari uliopo huko, Beverly Hills estate. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, Bey bna Jay wameonekana kwenye […]

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

9 years ago

Dewji Blog

Africa Preparation in COP21

DSC_0797

Climate change has significant and unequivocal implications for Africa’s development, and poses complex and changing challenges for Africa’s peoples and policy makers.  Addressing climate change has become central to the continent’s development agenda. It is proven that poorer countries and communities will suffer earliest and hardest from global warming because of weaker resilience and greater reliance on climate‐sensitive sectors like agriculture.

Over the last decade or so Africa has...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani