Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe wa mkutano wa Paris waganyika

Tofauti kubwa kati ya mataifa tajiri na yale yanayoendelea imejitokeza katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi mjini Paris.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wajumbe ‘waafikiana’ mkutano wa COP21 Paris

Waandalizi wa mkutano kuhusu mabadiliko ya tabia nchi mjini Paris wanasema mswada wa mkataba mpya umeafikiwa baada ya karibu wiki mbili za mazungumzo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano Paris kuhitaji siku moja zaidi

Washiriki katika mkutano mkuu kuhusu mabadiliko ya tabia nchini mjini Paris wamesema watahitaji siku moja zaidi kufanikisha makubaliano.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanasayansi zaidi ya 2000 washiriki mkutano wa tabianchi, Paris Ufaransa

Royal CfCC15.jpgwPichani: Baadhi ya Wanasayansi wakifuatilia mawasilisho ya wanasayansi wenzao yaliyokuwa yakiwasilishwa katika mkutani huo ulioanza Julai 7 na kumalizika Julai 10, mwaka huu katika  ukumbi mkubwa wa makao makuu ya UNESCO, Paris, Ufaransa.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[Paris, Ufaransa] Wanasayansi zaidi ya 2500, kutoka pembe zote duniani wamekutana katika  mkutano mkubwa wa wanayasansi juu ya siku za usoni na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ‘Our Common Future Under Climate Change’....

 

10 years ago

Mwananchi

Dk John Pombe Magufuli azungumza na wajumbe wa mkutano Mkuu

Dk Magufuli: Mnitume nikafanye kazi ya kukilinda chama na kuleta maendeleo

 

11 years ago

Michuzi

wajumbe wanawake wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba wakutana mjini Dodoma

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda(kushoto) na Makamu Mwenyekiti wa Wabunge wanawake Suzan Lyimo(kulia) wakibadlishana mawazo  mjini Dodoma wakati wa semina kwa wajumbe wanawake wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba inaliyoandaliwa na Tanzania Women Cross Party Platform yenye lengo la kuwaelimisha juu ya kutetea haki za wanawake kuingizwa katika rasimu ya Katiba mpya.  Mwenyekiti wa Wabunge wanawake Anna Abdallah (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa kwa wajumbe...

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Vijimambo

NAIBU WAZIRI JANET MBENE AFANYA MKUTANO NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KATA YA ISOKO

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akipokea zawadi ya ungo kutoka kwa mwakilishi wa wasuka ungo wa bundali.Naibu waziri wa Viwanda na biashara na mgombea ubunge wa jimbo laileje mkoani Songwe, Janet Mbene akisalimiana na vijana waliotokeakumlaki katika kata ya isoko walayani hapo.Naibu waziri waviawnada na biashara na mgombea ubunge katika jimbo ileje mkoa wa Songwe,Janet Mbene akitembea huku mamamia ya watu wkimfuta nyuma mara baada ya kumalizika kwa mkutano wake na wajumbe wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAJUMBE WA DICOTA 2014 CONVETION WAKUTANA KWENYE HAFLA YA COCKTAIL KWA UTAMBULISHO NA KUEANA MWONGOZO WA MKUTANO.

 Bw. Lunda Asmani akielezea utaratibu utakavyokua kwenye DICOTA 2014 Convetion itakayoaanza muda si mrefu leo Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye hafla ya Cocktail iliyofanyika Alhamisi jioni Oct 2, 2014 katika hotel ya Millennium Durham North Carolina. Bw. Lunda Asmani pia alitumia wasaa huo kuwatambulisha wageni mbalimbali akiwemo mgeni rasmi Katibu Mkuu kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue.Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini Marekani Mhe. Liberatus Mulamula akiongea na wahudhuriaji...

 

5 years ago

Contactmusic.Com

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts  Contactmusic.comView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani