Mabaki ya MH370 yasafirishwa Ufaransa
Mabaki yanayoaminika kutoka kwa ndege iliyotoweka ya shirika la ndege la Malaysia yamesafirishwa kwenda nchini Ufaransa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
MH370:'Picha zaonyesha mabaki baharini'
Malaysia imesema kuwa picha mpya za Satelite zimeonyesha vitu 122 baharini vinavyodhaniwa kuwa mabaki ya ndege yake iliyotoweka zaidi ya wiki mbili zilizopita.
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
MH370:Australia na Malaysia kuchunguza mabaki
Serikali nchini Australia na Malaysia zimeelezea matumaini baada ya kupatikana kwa kipande cha mabaki ya ndege karibu na Madagascar
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
MH370:Uchunguzi wa kina waanza Ufaransa
Watalamu kutoka Ufaransa, Malaysia na Australia wameanza kuchunguza mabaki ya bawa la ndege kubaini uhusiano na ile iliyotoweka ya MH370
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Ufaransa kuchunguza mabaki ya ndege
Mtu anayedaiwa kubaini ushahidi wa kwanza wa mabaki ya Ndege ya Malysia iliyopotea ameelezea mazingira ya yalipopatikana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k4J3V8U2tthMImFbr1mtds3G0KPEEGyOdXKRqscgwM7211NoquHIVwTXMRa8duUGczs9xfJVzl0iAL*XanmEI5z/1.jpg?width=650)
MIILI YA NDEGE YA MALAYSIA YASAFIRISHWA
Ndege ya Uholanzi iliyobeba miili 16 ikiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kharkiv, Ukraine kuelekea nchini Uholanzi. Miili ikiwa tayari kupakiwa kwenye ndege kuelekea Uholanzi.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUnJqrLW1ftOp0KDiNezc1q*EEdXFQIDtz496B9U2RGND3vG9Df3a4edxDrzpETaxgpBl7JdoDI0FW9ODqIOelUt/h.jpg?width=650)
MAITI YASAFIRISHWA JUU YA KERIA
Stori: Mwandishi wetu, aliyekuwa Arusha/Risasi Mchanganyiko
DUNIANI kuna matukio! Tofauti na utaratibu uliozoeleka, katika hali ya kushangaza, wanandugu wamelazimika kusafirisha maiti juu ya keria ya basi kutoka Arusha hadi Lushoto, Tanga kutokana na ukata.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni ambapo chanzo kilieleza kuwa, wanandugu hao ambao hawakuwa tayari kuanika majina yao, walifikia hatua hiyo ili waweze kuenea kwenye basi...
10 years ago
CloudsFM09 Apr
Miili ya mashabiki wa Simba Ukawa yasafirishwa kutoka Morogoro kwenda Dar
Miili ya wanachama saba wa klabu ya Simba maarufu kama Simba Ukawa waliofariki mwishoni mwa wiki iliyopita mkoani Morogoro kwa ajali ya gari wakielekea mkoani Shinyanga kuishangalia timu yao imesafirishwa kuelekea jijini Dar.
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/12B47/production/_85351667_breaking_image_large-3.png)
Wing debris 'certainly' from MH370
French prosecutors say "with certainty" that a wing part found on Reunion Island in July came from missing flight MH370.
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Malaysia yasitisha msako wa MH370
Serikali ya Malaysia imesitisha shughuli ya kuitafuta ndege iliyopotea ya MH370 na kuitaja kama ajali huku ikisema abiria wote waliangamia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania