Wafanyakazi wa hifadhi wauawa kwa mawe
Mhifadhi wa Wanyamapori, George Kimaro na kibarua Antony Andrew wameuawa kwa kupigwa mawe na wananchi katika Kijiji cha Namonge Rwewenzewe mkoani Geita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Wafanyakazi wauawa Libya
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Wafanyakazi wa MSF wauawa Kunduz
9 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII TANZANIA WAJENGEWA UWEZO WA UTENDAJI KAZI.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-osBuQmnptPE/U7hONfKPdJI/AAAAAAAFvNk/TR-7bfnex68/s72-c/unnamed+(44).jpg)
WAKAAZI WA MTO WA MBU NA WAFANYAKAZI WA HIFADHI YA ZIWA MANYARA WASHIRIKI KUTUNZA MAZINGIRA
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi kusimamia Haki ya Fidia kwa wafanyakazi
![](http://1.bp.blogspot.com/-oIQT1unmzzo/VdBzkYWQpFI/AAAAAAAAXv8/Qe-eB9mYhWo/s640/B3.jpg)
MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, Masha Mshomba, akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya Mfuko huo barabara ya Bagamoyyo jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 2015. Mfuko huo ulioanzishwa kwa sheria ya bunge namba 20 kifungu cha 5 ya mwaka 2008, una madhumuni ya kutoa fidia kwa Wafanyakazi kutokana na ulemavu au vifo viinavyosababishwa na ajali au magonjwa yatokanayo na kazi sambamba na kukuza mbinu za kuzuia matukio ya ajali, alisema. (Picha na...
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia
11 years ago
GPLGARI LA WIZARA ZANZIBAR LAPINDULIWA KWA MAWE!
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Mabasi yapigwa mawe kwa ushabiki wa kisiasa