GARI LA WIZARA ZANZIBAR LAPINDULIWA KWA MAWE!
Habari zilizopatikana mchana huu kutoka visiwani Zanzibar zinasema kuwa vijana wenye mikokoteni inayovutwa na Ng'ombe wamefanya vurugu na kuanza kupiga mawe magari ya serikali huku wakijerui wafanyakazi wa serikali kadhaa. Katika kadhia hiyo, walisababisha gari la Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi,  Mhe. Khamis Musa kupinduka kama linavyoonekana pichani. Inaelezwa kuwa chanzo cha vurugu hizo ni kupigwa marufuku kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
Mwanajeshi wa JWTZ Zanzibar anusurika kifo katika ajali ya gari kijiji cha Kibele, Zanzibar
Gari hilo kama linavyoonekana baada ya ajali hiyo
Na Mwandishi Wetu.
[Unguja-ZANZIBAR] Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) imeelezwa kuwa amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea mchana wa leo Novemba Mosi, eneo la kijiji cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari hiyo.
Kwa mujibu wa shuhuda wa taarifa ya tukio hilo: “ Ajali imetokea mchana huu kwenye saa 8.10 ambayo imemhusisha askari wa Jeshi la Ulinzi...
10 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATOA ELIMU YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA WAANDISHI WA HABARI
10 years ago
VijimamboWIZARA WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA YAKABIDHI VYANDARUA KWA HOSPITALI NANE ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s72-c/01.jpeg)
WARSHA YA MFUMO MPYA WA USAMBAZAJI DAWA ZANZIBAR (eLMIS) KWA WAKURUGENZI NA MAAFISA WA WIZARA YA AFYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s1600/01.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YnaZ9ZIZmjc/VUJJvSYcnzI/AAAAAAAHUW4/U9TVnnfw-FY/s1600/02.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ7TqecStzw/VUJJ2DI_46I/AAAAAAAHUXA/gJmgcdCqmVQ/s1600/03.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GOkTIUjI3Po/VUJJ7HcD_ZI/AAAAAAAHUXQ/ay-rg7fWyOc/s1600/04.jpeg)
5 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gUZqBZ9-Kpk/Xl1lxRuskfI/AAAAAAALgeQ/pmSkmuDTzcIrc3ttBUarqR-r-B-SP_cfACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC7104AA-768x426.jpg)
RAIS SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA UJENZI MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR. IKULU JIJINI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-gUZqBZ9-Kpk/Xl1lxRuskfI/AAAAAAALgeQ/pmSkmuDTzcIrc3ttBUarqR-r-B-SP_cfACLcBGAsYHQ/s640/DSC7104AA-768x426.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC7110AA-1024x567.jpg)
RAIS wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar, wakati wa kupokea taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Wizara hiyo kwa mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 , mkutano uliofanyika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais)...
10 years ago
Vijimambo17 Feb
ZANZIBAR | CHINA YAISAIDIA WIZARA YA AFYA VIFAA KWA AJILI YA KITENGO CHA MATIBABU YA MACHO KATIKA HOSPITALI KUU YA MNAZIMMOJA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/chi1.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/chi2.jpg)