Mabasi yapigwa mawe kwa ushabiki wa kisiasa
Mabasi  mawili ya Kampuni ya Zacharia Express mali ya Pita Zacharia mkazi wa Tarime mjini yanayofanya safari zake Tarime-Mwanza yameharibiwa kwa kupondwa na mawe kwa kile kinachoelezwa ni ushabiki wa kisiasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Washauriwa kuacha ushabiki wa kisiasa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Said Arfi, amewataka wajumbe kujadili kwa umakini sura ya kwanza na sura ya sita bila kuingiza ushabiki wa vyama vya siasa. Alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Habarileo26 Mar
‘Wekeni kando ushabiki wa kisiasa’
WAKAZI wa Moshi Vijijini wametakiwa kuweka ushabiki wa kisiasa kando na badala yake kuangalia maslahi yao ili waweze kupiga hatua za maendeleo kwa haraka.
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Mfugale: “Waandishi jiepusheni na ushabiki wa kisiasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu”
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka mikoa ya Singida, Kigoma, Katavi, Tabora na Shinyanga, wanaohudhuria mafunzo ya siku tano ya uandishi bora wa uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkufunzi Deodatus Mfugale, akitoa mada yake ya daftari la kudumu la wapiga kura kwenye mafunzo ya uandishi bora wa habari za uchaguzi yanayoendelea kwenye hotel ya Vigimark nje kidogo ya mji wa Shinyanga.
Na Nathaniel Limu,...
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mikutano ya kisiasa yapigwa marufuku Kenya
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Wabunge wasijadili Bajeti kwa ushabiki
9 years ago
Habarileo06 Sep
Msipige kura kwa ushabiki - Mzindakaya
MWANASIASA mkongwe nchini na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Chrisant Mzindakaya amewataka Watanzania wasikubali kupiga kura kwa ushabiki. Ameonya kuwa upigaji kura kwa ushabiki, utaligharimu taifa hivyo Watanzania wapige kura wakijua wanachagua kiongozi ambaye atawakilisha nchi kitaifa na kimataifa.
10 years ago
Vijimambo29 Apr
Tishio mgomo wa mabasi. Sumatra, wamiliki mabasi jino kwa jino.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ngwew-29April2015.jpg)
Katibu Mkuu wa Taboa, Enea Mrutu, alisisitiza msimamo wao wa kugoma walioutoa juzi alipozungumza na NIPASHE jana.
Alisema mgomo walioutangaza uko palepale ingawa kuna mazungumzo kati yao na Sumatra...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Wafanyakazi wa hifadhi wauawa kwa mawe