Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msipige kura kwa ushabiki - Mzindakaya

MWANASIASA mkongwe nchini na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Chrisant Mzindakaya amewataka Watanzania wasikubali kupiga kura kwa ushabiki. Ameonya kuwa upigaji kura kwa ushabiki, utaligharimu taifa hivyo Watanzania wapige kura wakijua wanachagua kiongozi ambaye atawakilisha nchi kitaifa na kimataifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mzindakaya amwagiwa sifa kwa kubaki mjamaa

MAWAZIRI wakuu wawili wastaafu wamemwagia sifa mwanasiasa mkongwe Chrisant Mzindakaya kwa kuwa muumini mwaminifu wa siasa ya ujamaa aliyebakia nchini. Walimpongeza pia Askofu wa Kanisa Katoliki , Jimbo la Shinyanga , Mhashamu Liberarus Sangu kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya juu ambapo leo anatarajiwa kuadhimisha Misa ya shukrani tangu alipoteuliwa kushika wadhifa wake huo.

 

9 years ago

Vijimambo

SIMBA MSIPIGE MILUZI, SIO MAHALA PAKE


Na Nicasius N Agwanda (Nicasius Coutinho Suso)
Wakati wa ukuaji wangu sikufanikiwa kufaulu masomo ya Sayansi kwa kiwango sahihi, nasema sikufanikiwa kwa sababu walimu na wazazi waliamini ninaweza lakini ule uvivu wa kutokupenda kujisomea na kuhisi kuwa kila mara kutakuwepo na njia nyepesi kuliko ile ya kusoma kwa nguvu nyingi.Ila hii ni akili ambayo nililishwa, haikuwa yangu, ilikuwa ni elimu ambayo niliipata kwa wale nilioongozana nao kila wakati. Sijutii kwa sababu ndio njia niliyoichagua...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wasijadili Bajeti kwa ushabiki

Hotuba ya Bajeti Kuu ya Taifa kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, ambayo iliwasilishwa na Serikali bungeni siku mbili zilizopita sasa iko mikononi mwa wabunge ambao wamekuwa wakiipitia kabla ya kuanza kuijadili hapo kesho.

 

9 years ago

Mwananchi

Mabasi yapigwa mawe kwa ushabiki wa kisiasa

Mabasi  mawili ya Kampuni ya Zacharia Express mali ya Pita Zacharia mkazi wa Tarime mjini yanayofanya safari zake Tarime-Mwanza  yameharibiwa kwa kupondwa na mawe kwa kile kinachoelezwa ni  ushabiki wa kisiasa.

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA BUSEGA, PAUL MZINDAKAYA AKABIDHI POWER TILLER KWA VIKUNDI VINNE WILAYANI HUMO

MKUU wa wilaya ya Busega mkoani Simiyu Paul Mzindakaya (kushoto ) akiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Charles Lukale wakati akikabidhi moja ya Power Tiller kwa vikundi vinne vinavyojishughulisha na kilimo bora wilayani humo ili viweze kuondokana na umasikini kupitia katika sekta ya kilimo. Na Shushu Joel,busega.
MKUU wa Wilaya ya Busega mkoani Simiyu Paul Mzindakaya amevikabidhi Power tTiller vikundi vinne vinavyojishughulisha na kilimo bora wilayani humo ili viweze kuondokana na...

 

10 years ago

Michuzi

wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga

 Wananchi wa Jimbo la Ukonga wakiwa nyumbani kwa mgombea ubunge wa jimbo hilo aliyeibuka kidedea, Jerry Silaa.Mgombea Jerry Silaa akishukuru wapiga kura baada ya kuibuka kidedea kwa kupata kura 10,382 huku mshindani wake PATEL Ramesh akipata kura 7355. Mgombea ubunge huyo aliwashukuru wananchi na wanaCCM waliokwenda nyumbani kumpongeza na kuwapongeza wagombea wenzake wote,na kuongeza kuwa wiki moja waliyokuwa pamoja amejifunza mengi, anaamini watashirikiana kufanikisha Ushindi wa CCM October...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura?

Hakuna shaka kua ccm wanataka kufanya wizi wa kubadilisha madokeo ya kura za Uraisi ,vipi madokeo ya kila kituo yanajulikana baada ya umalizikaji wa kupiga kura katika kituo husika halafu leo uambiwe usitangaze nani kashinda katika […]

The post Ni kwa nini ccm wameshikilia kura za uraisi tu zisitangazwe kwenye vituo vya kupigia kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Dewji Blog

David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo

article-2690667-1F9E2D9C00000578-470_964x755

Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.

article-2690667-1F9D901500000578-575_964x642

Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.

article-2690667-1F9D9B6700000578-945_964x663

Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.

article-2690667-1F9D90A100000578-712_964x635

Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUHUSU UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA NA KURA YA MAONI


Kama inavyofahamika, chini ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1997 na Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 ya mwaka 2010, jukumu la Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni kusimamia na kuendesha Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Wabunge na Madiwani kwa Tanzania Bara. Aidha, Sheria ya Kura ya Maoni imezipa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi Zanzibar jukumu la kuendesha Kura ya Maoni kwa ajili ya kuhalalisha Katiba Inayopendekezwa. Kwa mujibu wa Katiba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani