Mzindakaya amwagiwa sifa kwa kubaki mjamaa
MAWAZIRI wakuu wawili wastaafu wamemwagia sifa mwanasiasa mkongwe Chrisant Mzindakaya kwa kuwa muumini mwaminifu wa siasa ya ujamaa aliyebakia nchini. Walimpongeza pia Askofu wa Kanisa Katoliki , Jimbo la Shinyanga , Mhashamu Liberarus Sangu kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya juu ambapo leo anatarajiwa kuadhimisha Misa ya shukrani tangu alipoteuliwa kushika wadhifa wake huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Mbunge wa Ludewa amwagiwa sifa
NA SHEILA SIMBA, LUDEWA
KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Rachel Kassanda, amempongeza Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe, kwa jitihada za maendeleo zinazofanyika katika jimbo hilo.
Wakati Filikunjombe akipongezwa, kiongozi huyo alimshambulia Diwani wa Kata la Mlangali, Faraja Mlelwa (CHADEMA) kwa kushindwa kushiriki mbio za mwenge katika kata yake.
“Miradi saba yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tatu katika jimbo la Ludewa ambayo mwenge unaipitia ni mikubwa. Ni wazi Filikunjombe...
9 years ago
Habarileo06 Sep
Msipige kura kwa ushabiki - Mzindakaya
MWANASIASA mkongwe nchini na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Chrisant Mzindakaya amewataka Watanzania wasikubali kupiga kura kwa ushabiki. Ameonya kuwa upigaji kura kwa ushabiki, utaligharimu taifa hivyo Watanzania wapige kura wakijua wanachagua kiongozi ambaye atawakilisha nchi kitaifa na kimataifa.
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Jela kwa kushindwa kubaki njia kuu
MWALIMU wa Shule ya Msingi Misunkumilo, Kata ya Namanyere, wilayani Nkasi, mkoani Rukwa, Oswald Kapota (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kutelekeza familia yake na kwenda kuishi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TWTVYXifv2k/VKP23Dh8MmI/AAAAAAAG6xU/2P92s2pQR00/s72-c/12345678.jpg)
TUFUNGE MWAKA KWA KUBAKI SALAMA MTANDAONI -
![](http://1.bp.blogspot.com/-TWTVYXifv2k/VKP23Dh8MmI/AAAAAAAG6xU/2P92s2pQR00/s1600/12345678.jpg)
Kubwa zaidi ni uelewa mdogo wa watumiaji mtandao juu ya kujiweka salama kimtandao iliyo ambatana na wana usalama mitandao kuwa wachache sana katika ngazi ya kidunia huku baadhi ya mataifa kutotoa kipaumbele katika maswala ya usalama...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Nkwabi Ng’wanakilala: Msomi, mjamaa, mfuasi wa falsafa ya Kiafrika ‘ubuntu’
MIONGONI mwa habari zilizoshtua Watanzania wengi kwa kiwango kikubwa hivi karibuni ni kifo cha mwanahabari mahiri, Nkwabi Ng’wanakilala, kilichotokea jijini Mwanza na baadaye mwili wake ukapelekwa Dar es Salaam kwa...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA BUSEGA, PAUL MZINDAKAYA AKABIDHI POWER TILLER KWA VIKUNDI VINNE WILAYANI HUMO
MKUU wa Wilaya ya Busega mkoani Simiyu Paul Mzindakaya amevikabidhi Power tTiller vikundi vinne vinavyojishughulisha na kilimo bora wilayani humo ili viweze kuondokana na...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Pires amwagia sifa Wanyama, asema ana sifa zote za kucheza Arsenal
Robert Pires.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Robert Pires amemsifia mchezaji wa timu ya taifa ya Kenya na Southampton, Victor Wanyama na kuwa ana sifa za kucheza Arsenal kutokana na ubora alionao.
Pires aliulizwa na mwandishi wa habari wa Kenya kuhusu uwezo wa Wanyama na kusema kuwa amekuwa akimwangalia mchezaji huyo na anamwona kama mchezaji mwenye uwezo mzuri ambao kama akiongeza juhudi anaweza katika ubora wa wachezaji bora wa dunia.
“Namjua Wanyama, ni balozi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Oct
Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura
Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]
The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo20 May
Sifa na Utukufu kwa Mungu - Shukrani kwa Wote! - Ibada ya Kiswahili ~ Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-1.jpg)
Watoto Kwaya - Uganda
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-19.jpg)
Watoto Kwaya wakikaribishwa rasmi na Watoto wa Ibada ya Kiswahili - Ohio ( Ian na Suzy) na Uongozi wa Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-3.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10