Mbunge wa Ludewa amwagiwa sifa
NA SHEILA SIMBA, LUDEWA
KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Rachel Kassanda, amempongeza Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe, kwa jitihada za maendeleo zinazofanyika katika jimbo hilo.
Wakati Filikunjombe akipongezwa, kiongozi huyo alimshambulia Diwani wa Kata la Mlangali, Faraja Mlelwa (CHADEMA) kwa kushindwa kushiriki mbio za mwenge katika kata yake.
“Miradi saba yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tatu katika jimbo la Ludewa ambayo mwenge unaipitia ni mikubwa. Ni wazi Filikunjombe...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo23 Aug
Mzindakaya amwagiwa sifa kwa kubaki mjamaa
MAWAZIRI wakuu wawili wastaafu wamemwagia sifa mwanasiasa mkongwe Chrisant Mzindakaya kwa kuwa muumini mwaminifu wa siasa ya ujamaa aliyebakia nchini. Walimpongeza pia Askofu wa Kanisa Katoliki , Jimbo la Shinyanga , Mhashamu Liberarus Sangu kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya juu ambapo leo anatarajiwa kuadhimisha Misa ya shukrani tangu alipoteuliwa kushika wadhifa wake huo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s72-c/2G2A0691.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOMBE AKIPIGA KAZI LUDEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kZV0aqg0AdM/VVsJ48UKbtI/AAAAAAAC4rs/sNMLCE8dVoY/s640/2G2A0691.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pu1fV-ETjws/VVsJ4jGjZJI/AAAAAAAC4ro/P7G5wMTHbTQ/s640/2G2A0709.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bkn2GKf6ylE/VVsJ3Y-bV_I/AAAAAAAC4rg/W-7PN0kPeF4/s640/2G2A0748.jpg)
9 years ago
Eatv![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-0/s130x130/10449466_1343764422304639_2677089235026161154_n.jpg?oh=0c6a49588b4f31dba6f47d306669bd4d&oe=568AA299&__gda__=1456597857_adc11ee2aeaa30c64b03d35caf373139)
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia
11 years ago
GPLMSIBA WA BABA MZAZI WA MBUNGE WA LUDEWA MHE DEO FILIKUNKOMBE
11 years ago
Michuzi16 Jun
MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE NA WAGENI WAKE KUTOKA LUDEWA WAPAGAWISHWA NA MJOMBA BENDI
9 years ago
VijimamboMBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE APINGWA KUPITA BILA KUPINGWA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s72-c/chopa-2.jpg)
STOP PRESS: MBUNGE WA LUDEWA MHE DEO FILIKUNJOMBE AFARIKI KATIKA AJALI YA CHOPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s320/chopa-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LqfJnyU--Zc/ViDk6rqWqjI/AAAAAAAIAYo/M4MKIn4JBv8/s1600/2461.jpg)
Mbunge wa Ludewa Mhe Deogratias Haule Filikunjombe (chini) amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa (juu kulia), mfanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa na ndugu yake Marehemu Filikunjombe ambao majina hayajapatikana mara moja.
Mhe. Deo Filikunjombe, rubani na na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya chopa namba 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRkymnZeQmg/ViDk62H1T2I/AAAAAAAIAYg/Sko6AMTonqU/s320/f2-1.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Sep
Sifa ya kidato cha nne kuwa Mbunge yapingwa
KAMATI nyingi za Bunge Maalumu la Katiba, zimekataa sifa ya elimu ya kidato cha nne, kuwa kigezo cha msingi cha mgombea ubunge, kwa madai kuwa inabagua wananchi kwa kuondoa haki yao ya kidemokrasia ya kuomba kupigiwa kura na kupiga kura.
11 years ago
Michuzi14 Jun
Mbunge Filikunjombe avunja rekodi ya kutembelewa na wageni wengi bungeni kutoka jimboni kwake Ludewa
![](https://4.bp.blogspot.com/-svNAPlFlzW4/U5wHbEEO3AI/AAAAAAABpXM/KatQPR0XE9A/s640/30d.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-GJt815uzt6M/U5wHdG1omcI/AAAAAAABpXU/tNBHpnPSxwA/s640/30e.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-X62nnTeKU4E/U5wHhhpFuDI/AAAAAAABpXk/yeH7D55JXPw/s640/30g.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-FKH6vEqVPjI/U5wHj1ASdzI/AAAAAAABpXs/sTeRtsxZGgs/s640/30h.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10