MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE NA WAGENI WAKE KUTOKA LUDEWA WAPAGAWISHWA NA MJOMBA BENDI
Msanii Mrisho Mpoto mkurugenzi wa Mjomba Bend akipiga picha na viongozi wa CCM kutoka Ludewa katika show iliyoandaliwa na mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe usiku huu jijini Dar es Salaam
Viongozi wa CCM kutoka kata za wilayaya Ludewa wakijipongeza kwa show kali kutoka kwa Mjomba Bendi baada ya kumaliza mafunzo ya uongozi jijini Dar
Mkurugenzi wa bendi ya Mjomba Mrisho Mpoto akicheza na wana Ludewa katika show kali iliyoandaliwa na mbunge wao Deo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 Jun
Mbunge Filikunjombe avunja rekodi ya kutembelewa na wageni wengi bungeni kutoka jimboni kwake Ludewa
![](https://4.bp.blogspot.com/-svNAPlFlzW4/U5wHbEEO3AI/AAAAAAABpXM/KatQPR0XE9A/s640/30d.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-GJt815uzt6M/U5wHdG1omcI/AAAAAAABpXU/tNBHpnPSxwA/s640/30e.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-X62nnTeKU4E/U5wHhhpFuDI/AAAAAAABpXk/yeH7D55JXPw/s640/30g.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-FKH6vEqVPjI/U5wHj1ASdzI/AAAAAAABpXs/sTeRtsxZGgs/s640/30h.jpg)
9 years ago
Eatv![](https://fbcdn-photos-d-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xlp1/v/t1.0-0/s130x130/10449466_1343764422304639_2677089235026161154_n.jpg?oh=0c6a49588b4f31dba6f47d306669bd4d&oe=568AA299&__gda__=1456597857_adc11ee2aeaa30c64b03d35caf373139)
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amefariki dunia
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s72-c/chopa-2.jpg)
STOP PRESS: MBUNGE WA LUDEWA MHE DEO FILIKUNJOMBE AFARIKI KATIKA AJALI YA CHOPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s320/chopa-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LqfJnyU--Zc/ViDk6rqWqjI/AAAAAAAIAYo/M4MKIn4JBv8/s1600/2461.jpg)
Mbunge wa Ludewa Mhe Deogratias Haule Filikunjombe (chini) amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa (juu kulia), mfanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa na ndugu yake Marehemu Filikunjombe ambao majina hayajapatikana mara moja.
Mhe. Deo Filikunjombe, rubani na na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya chopa namba 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRkymnZeQmg/ViDk62H1T2I/AAAAAAAIAYg/Sko6AMTonqU/s320/f2-1.jpg)
9 years ago
VijimamboMBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE APINGWA KUPITA BILA KUPINGWA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Bongo516 Oct
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe afariki dunia kwa ajali ya helikopta, abiria wote wamepoteza maisha
9 years ago
MichuziMAMIA WAMUAGA MBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE NA NDUGU ZAKE NYUMBANI KWAKE KIJICHI JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e3tU6YT9yMQ/ViFb0N4L3GI/AAAAAAADBCU/EHhp1eA0k1A/s72-c/_MG_9276.jpg)
Dkt. Magufuli apokea kwa masikitiko kifo cha Mbunge wa Jimbo la Ludewa, mkoani Njombe Ndugu Deo Filikunjombe Haule,
![](http://1.bp.blogspot.com/-e3tU6YT9yMQ/ViFb0N4L3GI/AAAAAAADBCU/EHhp1eA0k1A/s640/_MG_9276.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xm1XeshQta4/U_TMnTV5pEI/AAAAAAAGA9s/XI0MMyay-dk/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Deo Filikunjombe andaa semina kwa viongozi wa CCM Wilaya ya Ludewa
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai akifungua semina ya wenyeviti, Makatibu na Makatibu Wenezi wa CCM wilaya ya Ludewa inayohusu masuala ya kuimarisha Chama na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika jimbo la Ludewa ambalo linaongozwa na Mbunge wake Machachali na makini Mh. Deo Filikumbjombe, Semina hiyo imeandaliwa na Mbunge wa jimbo hilo ambayo ilianza na ziara ya kimafunzo ya viongozi hao wa CCM wilaya ya Ludewa ambapo walianzia mjini Dodoma...