SIMBA MSIPIGE MILUZI, SIO MAHALA PAKE
Na Nicasius N Agwanda (Nicasius Coutinho Suso)
Wakati wa ukuaji wangu sikufanikiwa kufaulu masomo ya Sayansi kwa kiwango sahihi, nasema sikufanikiwa kwa sababu walimu na wazazi waliamini ninaweza lakini ule uvivu wa kutokupenda kujisomea na kuhisi kuwa kila mara kutakuwepo na njia nyepesi kuliko ile ya kusoma kwa nguvu nyingi.Ila hii ni akili ambayo nililishwa, haikuwa yangu, ilikuwa ni elimu ambayo niliipata kwa wale nilioongozana nao kila wakati. Sijutii kwa sababu ndio njia niliyoichagua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
WOLPER: Mimi Sio Simba ni Yanga
Mara baada ya timu ya Simba kuibuka mtani JEMBE, baada ya hiileo kuibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya timu ya Yanga, muigizaji wakike maarufu, Jackline Wolper aliweka picha hii matandaoni na alipoulizwa kuwa yeye ni mnyama au, wolper alisema.
"Hayo Mavazi tuu mimi ni Yanga yanga yanga ..Yanga woyeeeee ..okey byee sema leo nilipenic sana".
Sasa jiulize maneno haya niyakweli au?!! Au yeye ni Yanga Ukawa….Hehehe. Hongereni Simba na poleni washabiki wa Yanga
9 years ago
Habarileo06 Sep
Msipige kura kwa ushabiki - Mzindakaya
MWANASIASA mkongwe nchini na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Chrisant Mzindakaya amewataka Watanzania wasikubali kupiga kura kwa ushabiki. Ameonya kuwa upigaji kura kwa ushabiki, utaligharimu taifa hivyo Watanzania wapige kura wakijua wanachagua kiongozi ambaye atawakilisha nchi kitaifa na kimataifa.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hA00SIFl6AWb4Btlz-upiPkDi0pLzhUDn26b5hXGINU8-s01yjuF50DB9urxNA*Jf6uhwhclIJvzXWt3C1rYGPUwNW6BT3wV/pombe.jpg?width=650)
HILI LA MAWAZIRI, MILUZI ISIMPOTEZE RAIS MAGUFULI!
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Mwalimu Nyerere: Ikulu ni mahala patakatifu
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Wapi ni mahala sahihi pa kukaa na watoto?
10 years ago
MichuziWaziri Sitta asisitiza ushirikiano mahala pa kazi
11 years ago
Mwananchi29 Apr
TEKNOLOJIA: Simu za mkononi zinavyoweza kufahamisha mahala alipo mtumiaji
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3E588TCfOCs/U14UOaZAhdI/AAAAAAAFdpw/eIwrTJFKTK8/s72-c/003.jpg)
Wanafunzi wapatiwa mafunzo ya usalama na Afya mahala pa kazi na barabarani
![](http://2.bp.blogspot.com/-3E588TCfOCs/U14UOaZAhdI/AAAAAAAFdpw/eIwrTJFKTK8/s1600/003.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wvrEpFZ4H3Y/U14UPotl9bI/AAAAAAAFdqA/8pSFTRfh1M0/s1600/004.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 May
Baraza la wakala wa Usalama na Afya mahala pakazi (OSHA) lazinduliwa
Naibu Waziri wa kazi na ajira Dr. Makongoro Mahanga, akiwa anakaribishwa na Henry Mpande ambaye ni Mwenyekiti wa Hoteli ya Kitalii ya Millennium iliyoko katika ufukwe wa Bahari ya Hindi mjini Bagamoyo Mkoa wa Pwani ambapo mkutano wa baraza la wakala wa usalama na afya katika mahala pakazi OSHA ulipofanyikia.
Naibu Waziri wa kazi na ajira Dr. Makongoro Mahanga, akibadilishana mawazo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa usalama na afya mahala pa kazi OSHA Dr. Akwilina Kayumba baada ya kuzindua...