Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HILI LA MAWAZIRI, MILUZI ISIMPOTEZE RAIS MAGUFULI!

Rais John Pombe Magufuli. RAIS John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza Baraza lake la Mawaziri muda wowote kuanzia wiki ijayo, atakapokuwa ameshamtangaza Waziri Mkuu, kisha kuthibitishwa na Bunge mjini Dodoma. Mamilioni ya Watanzania wanasubiri kwa hamu kubwa kutangazwa kwa baraza hilo, kwani wanaamini ndiyo itakuwa mwanga wa kujua kama kweli, matumaini yao kwa rais huyu wa tano ni yenye kuleta matumaini au ni yaleyale ya kila...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hili ndio baraza la mawaziri la Magufuli

Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli leo ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali ya awamu ya tano.

20151210035203

Rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya wizara hazitakuwa na manaibu waziri, Lengo likiwa ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.

Hili ndio Baraza la Magufuli:

1.Ofisi ya Rais, Tamisemi Utumishi na Utawala Bora – Mawaziri: George Simbachawene, Angela Kairuki, Naibu: Selemani Jafo

2.Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira – Waziri: January...

 

9 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI

Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora.Mawaziri - George Simbachakene  na Angella KairukiNaibu Waziri - Sumeilam Jafo. Naibu.Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na MazingiraWaziri - January MakambaNaibu Waziri – Luhaga Jerrson MpinaOfisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na WalemavuWaziri - Jenista MuhagamaMaNaibu – Dkt. Possy Abdallah na Anthony Mavunde.Wizara ya Kilimo, Mifugo na UvuviWaziri - Mwigulu NchembaNaibu Waziri - William Ole NashaWizara...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli akosoa mawaziri ‘wanaopora’ sifa za Rais

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi, Dk John Magufuli, amekosoa mawaziri na viongozi wanaojivunia mafanikio ya majukumu waliyokabidhiwa, wakati mafanikio hayo ni haki ya kiongozi aliyemteua katika majukumu husika.

 

9 years ago

Global Publishers

Rais Magufuli ateua Mawaziri wanne waliokuwa wamebaki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano yautawala wake

Uteuzi huo ni kama ifuatavyo;
1.Profesa Jumanne Maghembe -Ameteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.

2.Dkt. Philip Mpango – Ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio)

Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Wote wametajwa hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki….(+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Breaking News: Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki

Leo Dec 23 2015 Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake, na hawa ndio waliopata nafasi hiyo. #BREAKING Rais Magufuli amemteua Profesa Jumanne Maghembe kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii #MillardAYOUPDATES — millard […]

The post Breaking News: Rais Magufuli amemalizia kuwateua Mawaziri waliobaki appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Rais Magufuli atangaza baraza dogo la mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli hivi punde ametangaza baraza lake la mawaziri, amesema wizara nyingi wameunganisha na atakuwa na wizara 18, na watakuwa na mawaziri 19 tu, na baadhi ya wizara zitakuwa na manaibu waziri huku zingine hazitakuwa na manaibu waziri.

 

9 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ...: RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani