Hili ndio baraza la mawaziri la Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli leo ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali ya awamu ya tano.
Rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya wizara hazitakuwa na manaibu waziri, Lengo likiwa ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.
Hili ndio Baraza la Magufuli:
1.Ofisi ya Rais, Tamisemi Utumishi na Utawala Bora – Mawaziri: George Simbachawene, Angela Kairuki, Naibu: Selemani Jafo
2.Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira – Waziri: January...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Hili ndilo Baraza la Mawaziri tunalolitaka
10 years ago
Vijimambo
UNAAMBIWA HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA UKAWA LITAKALOTANGAZWA OKTOBA 2015!

Edward Ngoyayi Lowassa (Chadema) - Rais



Halima James Mdee (Chadema) - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

John John Mnyika (Chadema) - Fedha na Uchumi

David Kafulila (NCCR-Mageuzi) - Kazi na Ajira

David Ernest Silinde (Chadema) - Tamisemi

Dk. Emmanuel John Makaidi (NLD) - Viwanda, Biashara na Masoko

James Mbatia (NCCR-Mageuzi) - Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Joseph Selasini (Chadema) - Ofisi ya Rais...
9 years ago
GPL
HILI LA MAWAZIRI, MILUZI ISIMPOTEZE RAIS MAGUFULI!
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Magufuli atangaza baraza la mawaziri
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Dk Magufuli akamilisha Baraza la Mawaziri
9 years ago
CCM Blog10 Dec
RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Magufuli aanika Baraza la Mawaziri, bado hajapata wanne
5 years ago
Michuzi
RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es salaam. Machi 09, 2020. Picha na Ikulu
9 years ago
Michuzi
BREAKING NYUZZZZ...: RAIS MAGUFULI ATANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

