Hili ndilo Baraza la Mawaziri tunalolitaka
>Baada ya kizaazaa cha wiki iliyopita ambapo mawaziri wanne walipoteza kazi zao kutokana na kuwajibishwa kwa vitendo vya ukatili na mauaji vilivyotokea wakati watendaji katika wizara zao walipokuwa wakiendesha ‘Operesheni Tokomeza Ujangili’ nchi nzima, kinachosubiriwa na wananchi hivi sasa ni Rais Jakaya Kikwete kuunda Baraza jipya la Mawaziri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-13l4UU4L67c/VcCEfTYt8HI/AAAAAAAAInI/VCT85Jwx0do/s72-c/Edward%2BNyoyai%2BLowasa.jpg)
UNAAMBIWA HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA UKAWA LITAKALOTANGAZWA OKTOBA 2015!
![](http://3.bp.blogspot.com/-13l4UU4L67c/VcCEfTYt8HI/AAAAAAAAInI/VCT85Jwx0do/s640/Edward%2BNyoyai%2BLowasa.jpg)
Edward Ngoyayi Lowassa (Chadema) - Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-njKeveZopFE/VcCGG8G2jjI/AAAAAAAAIpQ/geEnTKz4Zsw/s640/Profesa%2BIbrahim%2BLipumba.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57L3AHsrRy8/VcCFFp6x-kI/AAAAAAAAIng/mijmXMTIyzc/s640/Freeman%2BMbowe.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ct_9RScTK5E/VcCGEZI1AmI/AAAAAAAAIpI/UHSyIjs6j34/s640/Halima%2BMdee.jpg)
Halima James Mdee (Chadema) - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-O5qAU8cvNP8/VcCFWSu0KtI/AAAAAAAAIoA/7u1CL1G870k/s640/John%2BMnyika.jpg)
John John Mnyika (Chadema) - Fedha na Uchumi
![](http://1.bp.blogspot.com/-bhCLyMNKg_Q/VcCExDKQCdI/AAAAAAAAInY/6uihGWNkid8/s640/David%2BKafulila.jpg)
David Kafulila (NCCR-Mageuzi) - Kazi na Ajira
![](http://1.bp.blogspot.com/-p5myY9HPtX0/VcCD9-5BMxI/AAAAAAAAIm4/qCjSgklde34/s640/David%2BSilinde.jpg)
David Ernest Silinde (Chadema) - Tamisemi
![](http://2.bp.blogspot.com/-mxnSoDAT2EY/VcCEFULg3DI/AAAAAAAAInA/_JC0TKW4DbU/s640/Dk.%2BEmmanuel%2BMakaidi.jpg)
Dk. Emmanuel John Makaidi (NLD) - Viwanda, Biashara na Masoko
![](http://3.bp.blogspot.com/-0jyXzX4mZvE/VcCFORrI1wI/AAAAAAAAIno/xlQX1kDJbKQ/s640/James%2BMbatia.jpg)
James Mbatia (NCCR-Mageuzi) - Elimu na Mafunzo ya Ufundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-hvF2NIKreJY/VcCFQ1f__EI/AAAAAAAAInw/qLhmlykOJ6I/s640/Joseph%2BRoman%2BSelesini.jpg)
Joseph Selasini (Chadema) - Ofisi ya Rais...
9 years ago
Bongo510 Dec
Hili ndio baraza la mawaziri la Magufuli
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli leo ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali ya awamu ya tano.
Rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya wizara hazitakuwa na manaibu waziri, Lengo likiwa ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.
Hili ndio Baraza la Magufuli:
1.Ofisi ya Rais, Tamisemi Utumishi na Utawala Bora – Mawaziri: George Simbachawene, Angela Kairuki, Naibu: Selemani Jafo
2.Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira – Waziri: January...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Hili ndilo chaguo la Mungu!
MWAKA 2005, wakati tukiwa kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu, lilitokea genge moja la viongozi wa dini likiongozwa na askofu mmoja maarufu wa kanisa mojawapo kubwa nchini, wakidai kuwa mgombea urais...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmOsdP8Fm8HLvEyaFNuBu-fg-1GIr-xdMKoA*LtPiiCAlC8*r50XISAXsFqvDb1fLgtdyxhZuBQWlgNWxurr3*TJ/10reasonsyoushouldbecomeafreemason.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt6svx-XznesETyOEBxk8m8ttJNzj8cwbYInzfpp8qfl6BK8l7Zt8q-mw8-fc-kXN0*mYjLxUR-dBUXTlY62OCXO/TedHoldCelebratesfiftyyearsinfreemasonry021.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 3
11 years ago
CloudsFM18 Jun
HILI NDILO BOMU LILILOONEKANA MTWARA
Hili ni bomu ambalo jioni ya June 16 2014 kwenye kijiji cha Mdui kata ya Mawala wilaya ya Mtwara vijijini kwenye mkoa wa mtwara liliokotwa na watoto waliokuwa wakicheza karibu na eneo la makaburi.
Taarifa ilitolewa Polisi baadaye ambapo baada ya wataalamu kuja na kuchunguza waligundua ni bomu la kurusha kwa mkono ambalo lina namba TNT MORTAR BOMB 60MM,LOT SOL 618 ambapo Polisi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi walichukua hatua za kiusalama na kwenda kulilipua porini.
Kaimu kamanda wa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Hili ndilo Bunge tuliloambiwa ni la kihistoria?
IJUMAA ya Aprili 25, mwaka huu, sasa 7:23 nilipokea ujumbe mfupi kupitia simu yangu ya kiganjani ambao ulitoka kwa msomaji wa safu hii. Ujumbe huo ulisomeka hivi: “Afadhali wamemaliza Bunge...
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Hili Ndilo Neno la Leo Kutoka Kwa JB
Kazi yoyote unayoifanya kama utaipenda na kuweka moyo wako hapo..kisha ukaweka bidii na kujituma una asilimia kubwa ya kufanikiwa...maisha ya misheni town kwa miaka hii inayo kuja yanaweza kukuweka pabaya...Mungu akubariki...hili ndilo neno la leo toka kwa mtumishi wa bwana...jb....
Jacob Stephen ‘JB’on instagram