Hili ndilo chaguo la Mungu!
MWAKA 2005, wakati tukiwa kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu, lilitokea genge moja la viongozi wa dini likiongozwa na askofu mmoja maarufu wa kanisa mojawapo kubwa nchini, wakidai kuwa mgombea urais...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmOsdP8Fm8HLvEyaFNuBu-fg-1GIr-xdMKoA*LtPiiCAlC8*r50XISAXsFqvDb1fLgtdyxhZuBQWlgNWxurr3*TJ/10reasonsyoushouldbecomeafreemason.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt6svx-XznesETyOEBxk8m8ttJNzj8cwbYInzfpp8qfl6BK8l7Zt8q-mw8-fc-kXN0*mYjLxUR-dBUXTlY62OCXO/TedHoldCelebratesfiftyyearsinfreemasonry021.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 3
9 years ago
StarTV20 Aug
Kikwete: Magufuli chaguo la Mungu.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ni chaguo la Mungu.
Akizungumza na wazee, wanawake, vijana na wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam jana, alisema jina la Dk. Magufuli lilijitokeza katika hatua zote za uteuzi ikiwamo vikao vya wazee na hata katika Mkutano Mkuu alichaguliwa na maelfu, jambo linaloonyesha anakubalika kwa wote. Alisema Mungu ametoa hukumu yake kwa mtu wake na Watanzania ndiyo wataamua katika...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Hili ndilo Bunge tuliloambiwa ni la kihistoria?
IJUMAA ya Aprili 25, mwaka huu, sasa 7:23 nilipokea ujumbe mfupi kupitia simu yangu ya kiganjani ambao ulitoka kwa msomaji wa safu hii. Ujumbe huo ulisomeka hivi: “Afadhali wamemaliza Bunge...
11 years ago
CloudsFM18 Jun
HILI NDILO BOMU LILILOONEKANA MTWARA
Hili ni bomu ambalo jioni ya June 16 2014 kwenye kijiji cha Mdui kata ya Mawala wilaya ya Mtwara vijijini kwenye mkoa wa mtwara liliokotwa na watoto waliokuwa wakicheza karibu na eneo la makaburi.
Taarifa ilitolewa Polisi baadaye ambapo baada ya wataalamu kuja na kuchunguza waligundua ni bomu la kurusha kwa mkono ambalo lina namba TNT MORTAR BOMB 60MM,LOT SOL 618 ambapo Polisi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi walichukua hatua za kiusalama na kwenda kulilipua porini.
Kaimu kamanda wa...
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Hili ndilo Baraza la Mawaziri tunalolitaka
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Hili ndilo jibu la hoja ya uraia pacha!
MIMI si mmoja wa watu wanaoamini katika pendekezo kuwa Katiba mpya iweke ndani kipengele cha kutambua uraia wa nchi mbili au kama wengine wanavyouita “uraia pacha”. Kumekuwepo na wanaharakati na...
10 years ago
Bongo Movies06 Aug
Hili Ndilo Neno la Leo Kutoka Kwa JB
Kazi yoyote unayoifanya kama utaipenda na kuweka moyo wako hapo..kisha ukaweka bidii na kujituma una asilimia kubwa ya kufanikiwa...maisha ya misheni town kwa miaka hii inayo kuja yanaweza kukuweka pabaya...Mungu akubariki...hili ndilo neno la leo toka kwa mtumishi wa bwana...jb....
Jacob Stephen ‘JB’on instagram