Kikwete: Magufuli chaguo la Mungu.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ni chaguo la Mungu.
Akizungumza na wazee, wanawake, vijana na wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam jana, alisema jina la Dk. Magufuli lilijitokeza katika hatua zote za uteuzi ikiwamo vikao vya wazee na hata katika Mkutano Mkuu alichaguliwa na maelfu, jambo linaloonyesha anakubalika kwa wote. Alisema Mungu ametoa hukumu yake kwa mtu wake na Watanzania ndiyo wataamua katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Hili ndilo chaguo la Mungu!
MWAKA 2005, wakati tukiwa kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu, lilitokea genge moja la viongozi wa dini likiongozwa na askofu mmoja maarufu wa kanisa mojawapo kubwa nchini, wakidai kuwa mgombea urais...
9 years ago
Vijimambo09 Sep
TSUNAMI YA CCM LEO MKOANI TANGA,WANANCHI WANAIMANI KUBWA NA CCM NA WANAAMINI MAGUFULI NI CHAGUO SAHIHI
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11988502_424692677732966_6064218054379201055_n.jpg?oh=ee9f25ea0f5c902e8effeba4888ffc2e&oe=565D104E)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xlp1/v/t1.0-9/12003985_424692727732961_1793569102632477343_n.jpg?oh=351993483d0fafa4a4ebdcd32bc152b8&oe=56A6EE3C)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12004959_424692757732958_8936487882388301917_n.jpg?oh=28eee986159be896b3ed880ee77025be&oe=56AA1741)
10 years ago
Habarileo09 Oct
Kikwete- Tumshukuru Mungu
RAIS Jakaya Kikwete amesema, tukio la kukabidhiwa Katiba Inayopendekezwa ni muhimu na la kihistoria linalokidhi matakwa ya Sheria, alisema kukamilika kwake kunabakiza hatua moja ya mwisho ya wananchi wote kupiga kura ya maoni kufanya uamuzi wa katiba mpya.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rWPPSKB_6Ks/VlDHH2IaRTI/AAAAAAAIHuE/uVbcsmg0vec/s72-c/84eb7daf-a904-49e9-b9ed-42a3df2719d9.jpg)
Magufuli zawadi ya Mungu kwa Watanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-rWPPSKB_6Ks/VlDHH2IaRTI/AAAAAAAIHuE/uVbcsmg0vec/s640/84eb7daf-a904-49e9-b9ed-42a3df2719d9.jpg)
Na mdau Ruger KahwaAwali ya yote napenda kumpongeza Mh. Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangu alipokuwa waziri wa ujenzi alikuwa anonyesha dhahiri kuwa ana nia ya dhati ya kuwatumikia watanzania, na sio maslahi yake mwenyewe na familia yake. Chama chetu cha CCM kilitambua hilo na kumpendekeza kuwa mgombea urais wa Tanzania. Naamini ndani ya chama kuna watu walikuwa na kiu na shauku ya kuwa marais kwa ajili yao na marafiki zao, lakini Mungu wetu...
9 years ago
Habarileo29 Dec
Askofu ashukuru Magufuli kumtanguliza Mungu
WATANZANIA wameaswa kumuombea Rais John Magufuli kama ambavyo yeye mwenyewe amekuwa akihitaji kutoka kwa madhehebu mbalimbali ya dini nchini ili aweze kutekeleza majukumu yake kwa kumtanguliza Mungu.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/MAGUFULI-1.jpg)
MAGUFULI: RAIS MTARAJIWA MWENYE HOFU YA MUNGU
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s72-c/D92A6166.jpg)
Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona
![](http://1.bp.blogspot.com/-dIAfn0-uHcU/VIRg-N43EHI/AAAAAAADQFw/_4ivTS3MR7c/s1600/D92A6166.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4QhYbTyOvIU/VIRg-dHptZI/AAAAAAADQFk/EfYmOw2iVKU/s1600/D92A6155.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MnLwXCnWXKs/VIRg-nKx5vI/AAAAAAADQFo/ehygY6FwDhk/s1600/D92A6216.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-xO4nP9TVh9Q/Xt46mT1dXpI/AAAAAAALtDY/II3G3cRHGq4pKIp7hmAgfO-U4VGEKkj4gCLcBGAsYHQ/s400/9.jpg)
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...