Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete- Tumshukuru Mungu

RAIS Jakaya Kikwete amesema, tukio la kukabidhiwa Katiba Inayopendekezwa ni muhimu na la kihistoria linalokidhi matakwa ya Sheria, alisema kukamilika kwake kunabakiza hatua moja ya mwisho ya wananchi wote kupiga kura ya maoni kufanya uamuzi wa katiba mpya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Kikwete: Magufuli chaguo la Mungu.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ni chaguo la Mungu.

Akizungumza na wazee, wanawake, vijana na wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam jana, alisema jina la Dk. Magufuli lilijitokeza katika hatua zote za uteuzi ikiwamo vikao vya wazee na hata katika Mkutano Mkuu alichaguliwa na maelfu, jambo linaloonyesha anakubalika kwa wote. Alisema Mungu ametoa hukumu yake kwa mtu wake na Watanzania ndiyo wataamua katika...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete afanya Kisomo Kumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa Kupona

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya Mashekhe na wageni waliohudhuria hafla ya kisomo maalum cha Kumshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kufanyiwa upasuaji na kurejea nyumbani salama kilichofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumapili Desemba 7, 2014.Mjukuu wa Rais, Ayman Ridhiwani Kikwete akicheza kwa furaha wakati Babu yake Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru wageni na Mashekhe waliohudhuria hafla ya kisomo maalum kilichofanyika katika viwanja vya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Kikwete awataka Walemavu kutokumlaumu mwenyezi Mungu kwa Ulemavu wao

unnamed (23)

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimkabidhi Kiongozi wa Kituo cha walemavu cha Raisbura Bwana Mohamed Chitawala baadhi ya vyakula alivyowaletea- mchele, unga, mafuta ya kupikia, sukai, soda na vinginevyo wakati alipotembelea kituo cha walemavu cha Rasibura huko Lindi siku ya Pasaka.

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi

Watu wenye ulemavu wa viungo wametakiwa  kutosikitika kwanini Mwenyezi Mungu aliwaumba hivyo na kujiona wanyonge bali wajione wako  sawa na watu wengine  kwani  katika maisha ya...

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani