Askofu ashukuru Magufuli kumtanguliza Mungu
WATANZANIA wameaswa kumuombea Rais John Magufuli kama ambavyo yeye mwenyewe amekuwa akihitaji kutoka kwa madhehebu mbalimbali ya dini nchini ili aweze kutekeleza majukumu yake kwa kumtanguliza Mungu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 Oct
'Askofu muwe na hofu ya Mungu'
VIONGOZI wa Serikali nchini wameaswa kuwa na hofu ya Mungu wanapotekeleza majukumu yao ya kila siku katika kuwaletea maendeleo wananchi na kwamba kwa jinsi hali ilivyo kwa sasa hapa nchini viongozi wanaohitajika ni wale wenye kiu na njaa ya usawa na haki katika matumizi ya rasilimali.
11 years ago
Mwananchi19 May
Askofu: Hofu ya Mungu itatupa Katiba
10 years ago
GPLASKOFU WA KANISA LA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY ASEMA MAOMBI YAO MUNGU, AMETENDA!
10 years ago
StarTV20 Aug
Kikwete: Magufuli chaguo la Mungu.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete, amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli, ni chaguo la Mungu.
Akizungumza na wazee, wanawake, vijana na wanachama wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam jana, alisema jina la Dk. Magufuli lilijitokeza katika hatua zote za uteuzi ikiwamo vikao vya wazee na hata katika Mkutano Mkuu alichaguliwa na maelfu, jambo linaloonyesha anakubalika kwa wote. Alisema Mungu ametoa hukumu yake kwa mtu wake na Watanzania ndiyo wataamua katika...
9 years ago
Michuzi
Magufuli zawadi ya Mungu kwa Watanzania

Na mdau Ruger KahwaAwali ya yote napenda kumpongeza Mh. Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangu alipokuwa waziri wa ujenzi alikuwa anonyesha dhahiri kuwa ana nia ya dhati ya kuwatumikia watanzania, na sio maslahi yake mwenyewe na familia yake. Chama chetu cha CCM kilitambua hilo na kumpendekeza kuwa mgombea urais wa Tanzania. Naamini ndani ya chama kuna watu walikuwa na kiu na shauku ya kuwa marais kwa ajili yao na marafiki zao, lakini Mungu wetu...
10 years ago
GPL
MAGUFULI: RAIS MTARAJIWA MWENYE HOFU YA MUNGU
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Askofu: Msimtwishe Magufuli mzigo wa wauza ‘unga’
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Askofu: Magufuli kafanya tuumalize 2015 kwa raha
5 years ago
Michuzi
RAIS MAGUFULI NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU AMBAYO TUMEPEWA WATANZANIA-MBUNGE CCM

MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha Amina Mollel (CCM) amelieleza Bunge kuwa Rais Dkt.John Magufuli ni zawadi tuliyopewa na Mungu, hivyo kikubwa ni kuendelea kumuombea awe na maisha marefu zaidi.
Mollel amesema hayo wakati wa vikao vya Bunge vinavyoendelea Bungeni Mjini Dodoma ambapo wabunge walipata nafasi ya kujadili maazimio mawili, Azimio la kwanza ni kumpongeza Rais Magufuli na azimio la pili ni kumpongeza Spika wa Bunge Job Ndugai.
Akieleza zaidi mbele ya...