Askofu: Msimtwishe Magufuli mzigo wa wauza ‘unga’
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Mhashamu Everisto Chengula amesema watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanafahamika na wanaishi kwenye jamii husika, hivyo amewataka wananchi kuwafichua na si kumtwisha mzigo Rais John Magufuli kufanya jukumu hilo peke yake kwa kuwatia nguvuni watu hao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Saa 48 alizozitoa Waziri wa Magufuli kwa Wauza ‘Unga’…(+Pichaz)
Waziri wa mambo ya ndani Charles Kitwanga amefanya ziara ya ghafla leo Dec 16 2015 katika makambi mbalimbali ya Jeshi la Polisi na kutoa amri kwa viongozi wa jeshi hilo siku mbili za kuhakikisha amepata taarifa kuhusu udhibiti wa dawa za kulevya. “Wapo wajanja wana mbinu nyingi, lakini hawawezi kutuua. Na mimi hili ni jambo nitalivalia […]
The post Saa 48 alizozitoa Waziri wa Magufuli kwa Wauza ‘Unga’…(+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Magufuli ajitwisha mzigo wa wachimbaji wadogowadogo
9 years ago
Habarileo29 Dec
Askofu ashukuru Magufuli kumtanguliza Mungu
WATANZANIA wameaswa kumuombea Rais John Magufuli kama ambavyo yeye mwenyewe amekuwa akihitaji kutoka kwa madhehebu mbalimbali ya dini nchini ili aweze kutekeleza majukumu yake kwa kumtanguliza Mungu.
9 years ago
Mwananchi06 Dec
‘Wazungu wa unga’ wanolewa panga
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Askofu: Magufuli kafanya tuumalize 2015 kwa raha
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Hii ndio hukumu kwa Mnigeria aliyenaswa na ‘unga’ Malaysia..
Kumekuwa na nchi nyingi zikijitahidi kupambana na ishu ya dawa za kulevya Duniani, nchi nyingine imefikia mpaka hatua ya kuweka sheria kali ili kudhibiti kabisa kuingizwa na matumizi ya dawa hizo. Kwenye list ya nchi ambazo zinatajwa watu wake wengi kukamatwa kwa dawa za kulevya, Nigeria nayo imo !! stori za Wanigeria wengi kutajwa na […]
The post Hii ndio hukumu kwa Mnigeria aliyenaswa na ‘unga’ Malaysia.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MichuziASKOFU DR MDEGELLA ATAKA WATANZANIA KUMWOMBEA RAIS DR MAGUFULI KWA KAZI NZURI
Askofu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT( Dayosisi ya Iringa Dr OwdenBurg Mdegella akimpa baraka ya Christmas mtoto Monica Kasesela huku babake mkuu wa wilaya ya Iringa Bw Richard Kasesela na binti yake Cathelin Kasesela wakishuhudia baada ya kumalizika kwa ibada ya pili katika usharika wa kanisa kuu
Askofu Dr Mdegela akitoa baraka
Mwalimu wa kwaya ya vijana katika kanisa kuu Bw Lupyana Samweli akipokea baraka za Christmas kutoka kwa askofu wa kanisa...
9 years ago
MichuziRais Magufuli atuma salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Askofu Nkalanga
Simu: 255-22-2114512, 2116898E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu Mstaafu Plasdus Gervas Nkalanga...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Uingereza walivyoamua kujenga maeneo ya kuvutia ‘unga’.. ndio kusema wamehalalisha?
Mapambano ya dawa za kulevya yako kila kona duniani… najua kukutana na kichwa cha habari kwamba kuna nchi eti wameamua kuwajengea kabisa vibanda vya kuvutia dawa za kulevya ni kitu ambacho kinaweza kukushtua, lakini habari iko hivyo !! Kuna ripoti za watu wenye majina makubwa duniani kuripotiwa kufariki kwa kuzidisha dawa za kulevya… hizo ripoti zipo […]
The post Uingereza walivyoamua kujenga maeneo ya kuvutia ‘unga’.. ndio kusema wamehalalisha? appeared first on...