Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wazungu wa unga’ wanolewa panga

Siku za wauza unga sasa zinahesabika baada ya Tume ya Kudhibiti Dawa za Kulevya kuvunjwa rasmi na chombo kingine kitakachokuwa na mamlaka ya kuchunguza, kukamata, kupekua, kuteketeza na kuwapeleka mahakama kikitarajiwa kuundwa hivi karibuni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Askofu: Msimtwishe Magufuli mzigo wa wauza ‘unga’

Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Mhashamu Everisto Chengula amesema watu wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya wanafahamika na wanaishi kwenye jamii husika, hivyo amewataka wananchi kuwafichua na si kumtwisha mzigo Rais John Magufuli kufanya jukumu hilo peke yake kwa kuwatia nguvuni watu hao.

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio hukumu kwa Mnigeria aliyenaswa na ‘unga’ Malaysia..

Kumekuwa na nchi nyingi zikijitahidi kupambana na ishu ya dawa za kulevya Duniani, nchi nyingine imefikia mpaka hatua ya kuweka sheria kali ili kudhibiti kabisa kuingizwa na matumizi ya dawa hizo. Kwenye list ya nchi ambazo zinatajwa watu wake wengi kukamatwa kwa dawa za kulevya, Nigeria nayo imo !! stori za Wanigeria wengi kutajwa na […]

The post Hii ndio hukumu kwa Mnigeria aliyenaswa na ‘unga’ Malaysia.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Saa 48 alizozitoa Waziri wa Magufuli kwa Wauza ‘Unga’…(+Pichaz)

Waziri wa mambo ya ndani Charles Kitwanga amefanya ziara ya ghafla leo Dec 16 2015 katika makambi mbalimbali ya Jeshi la Polisi na kutoa amri kwa viongozi wa jeshi hilo siku mbili za kuhakikisha amepata taarifa kuhusu  udhibiti wa dawa za kulevya. “Wapo wajanja wana mbinu nyingi, lakini hawawezi kutuua. Na mimi hili ni jambo nitalivalia […]

The post Saa 48 alizozitoa Waziri wa Magufuli kwa Wauza ‘Unga’…(+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Uingereza walivyoamua kujenga maeneo ya kuvutia ‘unga’.. ndio kusema wamehalalisha?

Mapambano ya dawa za kulevya yako kila kona duniani… najua kukutana na kichwa cha habari kwamba kuna nchi eti wameamua kuwajengea kabisa vibanda vya kuvutia dawa za kulevya ni kitu ambacho kinaweza kukushtua, lakini habari iko hivyo !! Kuna ripoti za watu wenye majina makubwa duniani kuripotiwa kufariki kwa kuzidisha dawa za kulevya… hizo ripoti zipo […]

The post Uingereza walivyoamua kujenga maeneo ya kuvutia ‘unga’.. ndio kusema wamehalalisha? appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanahabari wanolewa habari za uchaguzi

Waandishi wa habari wametakiwa kutoa kipaumbele kwa jamii kwa kuandika changamoto za wananchi na mahitaji yao, badala ya wagombea wa vyama na sifa zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wachoma nyama Arusha, Kilimanjaro wanolewa

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Safari Lager kimetoa mafunzo kwa wachoma nyama kutoka baa mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha ikiwa ni maandalizi ya mashindano...

 

11 years ago

Habarileo

Watumishi wa mahakama wanolewa mfumo wa kompyuta

WATUMISHI wa Idara za Mahakama wakiwemo Mahakimu na Makarani wa Wilaya za Bukombe na Kahama juzi wamepata mafunzo kutoka mfumo wa karatasi kwenda katika mfumo kwa Kompyuta (JSBS) kwa lengo la kukuza ufanisi katika maeneo yao ya kazi waliopo.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wanolewa Uchaguzi Mkuu wa 2015

Harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015 zimeanza. Polisi wameanza mafunzo yatakayowaongezea uwezo wa kusimamia uchaguzi huo.

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA KADA YA WALINZI WIZARA YA ELIMU WANOLEWA

 Kaimu Katibu mkuu wa Wizara  ya Elimu , Sayansi  na Teknolojia , Profesa James Mdoe akifafanua jambo wakati  wa ufunguzi wa mafunzo ya ulinzi na usalama katika utumishi wa umma kwa watumishi wa kada ya walinzi yanayofanyika kwa muda wa siku 10 kunzia Juni 15, mwaka huu (2020)  katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Savoy -Manispaa ya Morogoro na ( wa kwanza kushoto) ni Mratibu wa Mafunzo  na Mkufunzi mkuu kutoka Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA),Dk Hassanal  Issaya (kwanza kulia) ni Makamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani