Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachoma nyama Arusha, Kilimanjaro wanolewa

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Safari Lager kimetoa mafunzo kwa wachoma nyama kutoka baa mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha ikiwa ni maandalizi ya mashindano...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Wachoma Nyama jijini Mwanza wapigwa msasa na Safari Lager

KAMPUNI ya Bia Tanzania(TBL) kupitia kinywaji chake cha Safari Lager jana imetoa mafunzo kwa wachoma nyama kutoka Baa mbali mbali za Mkoa wa Mwanza ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma kwa mwaka 2014 yatakayo fanyika katika viwanja vya Furahisha.
Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja matukio wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kanda ya Ziwa, Erick Mwayela, alisema lengo la kutoa mafunzo ni kutoa elimu kwa wachoma nyama ukizingatia uchomaji nyama ni moja sehemu ya...

 

11 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YATOA SOMO KWA WACHOMA NYAMA JIJINI MBEYA

Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania(TBL) kanda ya Mbeya na Rukwa, Cloud Chawene, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Semina ya Uchomaji Nyama Bora ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma.Semina hiyo ilifanyika Airport Pub Mkoani Mbeya jana. Jaji Mkuu wa mashindano ya Safari Nyama Choma akizungumza na waandishi wa habari wakati wa Semina ya Uchomaji Nyama Bora ikiwa ni maandalizi ya mashindano ya Safari Nyama Choma.Semina hiyo ilifanyika Airport Pub Mkoani...

 

10 years ago

Michuzi

MFANYABIASHARA MASHUHURI MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO VICENT LASWAI APANDA MLIMA KILIMANJARO

Mfanyabiashara mashuhuri katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Vicent Laswai akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika ofsi za Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) kabla ya kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro.Mfanyabiashara Vicent Laswai akijadiliana jambo na Mhifadhi mkuu wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro(KINAPA) ,Erastus Rufungulo kabla ya kuaza safari ya kupanda mlima Kilimanjaro. kulia ni mkurugenzi wa kampuni ya Topi Raisen Richard...

 

10 years ago

Michuzi

Milestone Mark Mabingwa Safari Nyama Choma 2015 Arusha.

Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Jijini Arusha, Boniventure Mshongi (kushoto) akimkabidhi kikombe Mchoma nyama wa Bar ya Milestone Park, Lawrence Kimonge mara baada ya kuibuka mabingwa katika mashindano ya Safari Nyama Choma yaliyofanyika katika Uwanja wa Nanenane mwishoni mwa wiki jijini Arusha .Katikati ni Meneja wa bia ya Safari Lger, Edith Bebwa. Mashabiki wa Bar ya Milestone Park ya jijini Arusha wakiwa wamembeba juu mchoma nyama wa bar hiyo mara baada ya kutangazwa bingwa katika...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA ANG'ARA KILIMANJARO NA ARUSHA

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM, uliofanyika leo katika stendi ya daladala maarufu kwa jina la Samunge, jijini Arusha leo
 Sehemu ya umati wa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo jijini Arusha leo Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Ummy Mwalimu akimuombea kura mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo jijini Arusha Waziri wa Nchi Ofisi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”

IMG-20150506-WA0008

Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mh. Wasira azuru mkoa wa Kilimanjaro na Arusha kutafuta wadhamini

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira (kushoto) akiwa ndani ya ofisi za CCM mkoa wa Kilimanjaro wakati alipoenda kuomba kuthaminiwa na wananchi ili kuweza kupata nafasi ya kugombea nafasi ya Urais. Katikati ni mwenyekiti wa mkoa wa Kilimanjaro, Deogratius  Luta na kulia ni Katibu wa CCM mkoa huo Idd Juma Mohamed.

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiwa anaongea na mmoja wa kada wa CCM aliyejitokeza kumdhamini.

Waziri wa Kilimo na Ushirika Stephen...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Maliasili na Utalii akiwa katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro

Waziri wa Maliasili na Utalii,Mh. Lazaro Nyalandu na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS),Juma Mgoo wakikagua shamba la miti la Meru jana alipotembelea shamba la miti la mkoani Arusha. Waziri wa Maliasili na Utalii,Mh. Lazaro Nyalandu akikagua ujenzi wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Usharika wa Ivume wilayani Siha mkoani Kilimanjaro alipoendesha harambee ya kuchangia ujenzi huo.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Mh. Leonidas Gama akizungumza na viongozi wa kamati ya Ulinzi na Usalama...

 

10 years ago

Michuzi

Tabora,Kagera,Arusha,Kilimanjaro na Ilala zapata Mabingwa Safari Pool

FAINALI za mashindano ya Safari Pool Taifa yajulikanayo kama “Safari National Pool Competition 2014”, mikoa ya Tabora ,Kagera, Arusha,Kilimanjaro na Mkoa wa kimichezo wa Ilala zimefanikiwa kupata mabingwa wa mikoa zilizomalizika mwishoni mwa wiki katika mikoa hiyo.
Mkoa wa Tabora mabingwa ni Tiptop Pool Klabu,Kagera ni Bilele Pool Klabu,Arusha ni Ngarenaro Pool Klabu,Kilimanjaro ni Mboya Pool Klabu na Mkoa wa Kimichezo wa Ilala ni Mashujaa Pool Klabu ambavyo kwa kutwaa ubingwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani