MAMA SAMIA ANG'ARA KILIMANJARO NA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-M2C4MTzQDtk/Vd3nGAKvKaI/AAAAAAAAx74/6L0C8xuCOnc/s72-c/2.jpg)
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM, uliofanyika leo katika stendi ya daladala maarufu kwa jina la Samunge, jijini Arusha leo
Sehemu ya umati wa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo jijini Arusha leo
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Ummy Mwalimu akimuombea kura mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo jijini Arusha
Waziri wa Nchi Ofisi...
Vijimambo