Hili ndilo jibu la hoja ya uraia pacha!
MIMI si mmoja wa watu wanaoamini katika pendekezo kuwa Katiba mpya iweke ndani kipengele cha kutambua uraia wa nchi mbili au kama wengine wanavyouita “uraia pacha”. Kumekuwepo na wanaharakati na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
11 years ago
Habarileo05 Aug
Kikwete- Jengeni hoja uraia pacha
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania waishio nje ya nchi na wanaotaka kuona Tanzania inakubali kuanzisha mfumo wa uraia pacha, kutumia muda wao kujenga hoja za jambo hilo badala ya kupoteza muda kwenye mijadala ya blogu na kulaumu watu wengine.
11 years ago
Mwananchi05 Oct
Bunge lilivyozika hoja ya uraia pacha
11 years ago
Michuzi
hoja ya haja na Dakta Anicetus Temba juu ya uraia pacha

Nimetumia muda mwingi kusoma vipeperushi vya kitaalamu kuhusiana na suala linalojadiliwa sasa la uraia pacha katika Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wakati nchi nyingi za Kiafrka zikionekana kuelekea katika mfumo wa uraia pacha Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuelimisha jamii kuhusiana na umuhimu wa sulala hili. Inawezekana kabisa suala hili linaweza lisipewe kipaumbele katika Bunge Maaumu la Katiba. Maombi yetu ni kuliomba Bunge hilo lijadili mada hii kwa undani na kwa mapana yake....
11 years ago
Michuzi
Hoja ya haja ya Mwenyekiti wa Watanzania wa Washington-Seattle kuhusu uraia pacha

11 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
10 years ago
GPL
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 3
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Hili ndilo chaguo la Mungu!
MWAKA 2005, wakati tukiwa kwenye hekaheka za uchaguzi mkuu, lilitokea genge moja la viongozi wa dini likiongozwa na askofu mmoja maarufu wa kanisa mojawapo kubwa nchini, wakidai kuwa mgombea urais...
10 years ago
GPL
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 2