Kikwete- Jengeni hoja uraia pacha
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania waishio nje ya nchi na wanaotaka kuona Tanzania inakubali kuanzisha mfumo wa uraia pacha, kutumia muda wao kujenga hoja za jambo hilo badala ya kupoteza muda kwenye mijadala ya blogu na kulaumu watu wengine.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Apr
hoja ya haja: ............ la Uraia Pacha
naomba pia uniruhusu kusema machache kuhusu mwanazuoni John Mashaka kwa sababu ametugusa kwa mamilioni. na hapana shaka wasomaji wote wa hii blog watakubaliana na mimi kuhusiana na...
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Bunge lilivyozika hoja ya uraia pacha
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Hili ndilo jibu la hoja ya uraia pacha!
MIMI si mmoja wa watu wanaoamini katika pendekezo kuwa Katiba mpya iweke ndani kipengele cha kutambua uraia wa nchi mbili au kama wengine wanavyouita “uraia pacha”. Kumekuwepo na wanaharakati na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s72-c/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
hoja ya haja na Dakta Anicetus Temba juu ya uraia pacha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s1600/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
Nimetumia muda mwingi kusoma vipeperushi vya kitaalamu kuhusiana na suala linalojadiliwa sasa la uraia pacha katika Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wakati nchi nyingi za Kiafrka zikionekana kuelekea katika mfumo wa uraia pacha Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuelimisha jamii kuhusiana na umuhimu wa sulala hili. Inawezekana kabisa suala hili linaweza lisipewe kipaumbele katika Bunge Maaumu la Katiba. Maombi yetu ni kuliomba Bunge hilo lijadili mada hii kwa undani na kwa mapana yake....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s72-c/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
Hoja ya haja ya Mwenyekiti wa Watanzania wa Washington-Seattle kuhusu uraia pacha
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y3Hmig3Fkvw/UwueaVgQ5QI/AAAAAAAFPUA/Vyt4Kz-DFH8/s1600/2318784-flag-of-tanzania-waving-in-the-wind.jpg)
10 years ago
Habarileo16 Aug
Kikwete: Uraia pacha ni suala la kikatiba
RAIS Jakaya Kikwete amewaambia Watanzania waishio nje ya nchi kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake, hawana pingamizi juu ya Watanzania hao kuwa na uraia wa nchi mbili, lakini akasema kwa kuwa suala hilo ni la Kikatiba, hana mamlaka yote ya kulihalalisha.
10 years ago
Michuzi20 Aug
HOJA YA HAJA: BARUA YA WAZI KWA GAZETI LA MWANANCHI NA BWANA HUMPHREY POLEPOLE KUHUSU URAIA PACHA KWA WATANZANIA.
1.kwa watanzania wote walio na wazazi wenye...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Kikwete: Serikali haina mamlaka ya amri kuzungumzia uraia pacha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mkrisho Kikwete akiingia ukumbini wakati wa kongamano la Watanzania waishio Ughaibuni lililofanyika kwa mara ya kwanza nchini leo Jijini Dar es Salaam. Nyuma yake ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizendo Pinda( mwenye koti la Bluu).
Na Joseph Ishengoma, MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amesema hana mamlaka ya amri kuzungumzia uraia pacha kwasababu ni la katiba.
Rais Kikwete amesema...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wapinzani wa Pinda jengeni hoja
WAJUZI wa kisiasa wanaamini kwamba hoja inajengwa kwa mtu kujenga hoja. Ndio maana hata usemi wa Kiingereza unasisitiza katika hilo kwamba; kama huna utafiti wa kutosha juu ya jambo fulani,...