Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinzani wa Pinda jengeni hoja

WAJUZI wa kisiasa wanaamini kwamba hoja inajengwa kwa mtu kujenga hoja. Ndio maana hata usemi wa Kiingereza unasisitiza katika hilo kwamba; kama huna utafiti wa kutosha juu ya jambo fulani,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kikwete- Jengeni hoja uraia pacha

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania waishio nje ya nchi na wanaotaka kuona Tanzania inakubali kuanzisha mfumo wa uraia pacha, kutumia muda wao kujenga hoja za jambo hilo badala ya kupoteza muda kwenye mijadala ya blogu na kulaumu watu wengine.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkirudi bungeni, jengeni hoja zilizokwenda shule

Bunge Maalumu la Katiba limepumzika kwa muda wa angalau miezi mitatu, nasi Watanzania wafuatiliaji wa Bunge hilo tumepumzika na matusi, angalau masikio yetu yatapumua kidogo.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda: Jengeni tabia ya kuandika wosia

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wote kujenga tabia ya kuandika wosia, ili kuondoa matatizo ya mirathi pale mume au mke anapoaga dunia.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwelekeo mpya bungeni, Pinda atoa hoja kutuliza hali ya hewa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alifanikiwa kutuliza hali ya hewa bungeni baada ya kutoa mapendekezo yaliyoungwa mkono na pande zote zilizokuwa zinavutana kuhusu kupitisha baadhi ya vifungu vya Kanuni za Bunge la Katiba.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Jengeni utamaduni wa usafi

Rais John Magufuli jana aliwaongoza  Watanzania kufanya usafi na kuwataka kujenga utamaduni wa kudumisha utamaduni huo mara kwa mara.

 

10 years ago

Mwananchi

TCCIA: Jengeni tabia ya kununua hisa

Watanzania wametakiwa kutafuta ufahamu kuhusu masuala ya hisa na kujenga tabia ya kuzinunua kama sehemu ya uwekezaji kwa maendeleo yao na Taifa kwa jumla.

 

10 years ago

Michuzi

JENGENI IMANI NA CCM KWA MAENDELEO ZAIDI - JIMSONI MHAGAMA

 Katibu  wa CCM wilaya ya  Mufindi, Jimsoni Mhagama  KATIBU wa CCM wa wilaya ya Mufindi Bw. Jimson Mhagama amesema kuwa chama  cha mapinduzi (CCM ) kitaendelea  kuongoza kwa kuzingatia uadilifu, , amani, upendo, utulivu na kuleta maendeleo kwa wananchi wake  hivyo  kuwataka  wananchi kuchagua cheni nyenye msimamo wa kuwa na diwani, mbunge na rais wa CCM ili  kuendelea  kuwaletea maendeleo .Bw. Mhagama aliitoa kauli  hiyo  jana alipokuwa akihutubia wananchi katika mkutano  wa  kampeni za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba lijadili nguvu ya hoja si hoja za nguvu

BUNGE la kujadili katiba mpya limepangwa kuanza rasmi Februari 18 mwaka huu, pale Makao Makuu ya Tanzania, mjini Dodoma. Mijadala itaendeshwa kwa siku 70. Ikibidi zitaongezwa tena siku nyingine 20...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani