Pinda: Jengeni tabia ya kuandika wosia
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewataka Watanzania wote kujenga tabia ya kuandika wosia, ili kuondoa matatizo ya mirathi pale mume au mke anapoaga dunia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Dec
TCCIA: Jengeni tabia ya kununua hisa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4dwNC2OLdss/XmIvc64FLGI/AAAAAAALhdI/wGvCcs6R4dgFdKMAgRMqoerIjLMSfU1eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-06%2Bat%2B2.05.57%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
UMUHIMU WA KUANDIKA WOSIA ILI KUMKOMBOA MWANAMKE NA FAMILIA.
*Mwanamke ni nguzo imara katika familia hivyo nguzo hiyo inapokosa pahali pa kusimamia huanguka kirahisi na hata kuathiri familia kwa kiasi kikubwa. Hatahivyo kumekuwa na changamoto nyingi za kuwepo kwa...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wapinzani wa Pinda jengeni hoja
WAJUZI wa kisiasa wanaamini kwamba hoja inajengwa kwa mtu kujenga hoja. Ndio maana hata usemi wa Kiingereza unasisitiza katika hilo kwamba; kama huna utafiti wa kutosha juu ya jambo fulani,...
10 years ago
Mtanzania30 May
Pinda atamani sheria ya wosia
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuna haja ya kuwa na sheria itakayowezesha uandikishaji wosia kuwa wa lazima ili kuondokana na migogoro ya kugombania mali za marehemu na unyanyasaji wa wajane na watoto.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, katika maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na uzinduzi wa kampeni ya uandishi wa wosia.
Alisema migogoro hiyo kwa kiasi kikubwa inaathiri wanawake na watoto pindi wazazi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YK7YUxgP3lA/VNkQhiFP-RI/AAAAAAAHCto/7JEmX9UFYuo/s72-c/download%2B(1).jpg)
JE WAJUA KUWA WOSIA WA MANENO NI WOSIA HALALI KISHERIA?
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK7YUxgP3lA/VNkQhiFP-RI/AAAAAAAHCto/7JEmX9UFYuo/s1600/download%2B(1).jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Magufuli: Jengeni utamaduni wa usafi
11 years ago
Habarileo05 Aug
Kikwete- Jengeni hoja uraia pacha
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania waishio nje ya nchi na wanaotaka kuona Tanzania inakubali kuanzisha mfumo wa uraia pacha, kutumia muda wao kujenga hoja za jambo hilo badala ya kupoteza muda kwenye mijadala ya blogu na kulaumu watu wengine.
11 years ago
Mwananchi04 May
Mkirudi bungeni, jengeni hoja zilizokwenda shule
9 years ago
MichuziJENGENI IMANI NA CCM KWA MAENDELEO ZAIDI - JIMSONI MHAGAMA