JE WAJUA KUWA WOSIA WA MANENO NI WOSIA HALALI KISHERIA?
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK7YUxgP3lA/VNkQhiFP-RI/AAAAAAAHCto/7JEmX9UFYuo/s72-c/download%2B(1).jpg)
Wosia ni jambo kati ya mambo ambayo huwasumbua watu wengi. Sababu ya kuwasumbua wengi ni lile lile tu kuwa ufahamu wa mambo ya sheria haujawa wa kutosha katika jamii. Tatizo la wosia limepelekea magomvi makubwa ya kifamlia hasa wakati wa misiba au baada ya misiba. Pia wakati mwingine ni tatizo hili hili ambalo limewafanya baadhi ya watu tena ndugu kugombea maiti. Kama watu wanaelewa vyema habari ya wosia na haki za kila mtu katika wosia sioni haja ya ndugu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jul
Mwandosya aacha wosia
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Mark Mwandosya ameaga rasmi ubunge na kutoa wosia kwa mawaziri watakaoteuliwa katika Serikali ijayo, kuwa wasikivu kwa wabunge, ili taifa lifikie maendeleo.
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Wosia wa Mandela watangazwa
10 years ago
Habarileo26 Apr
Wosia wa Shekhe Karume
MTAZAMO na hisia za Muasisi wa Muungano na Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Shekhe Abeid Aman Karume katika Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, umewekwa hadharani na mmoja wa wanawe, ambaye kabla ya kifo cha baba yake, alikuwa Naibu Waziri wa Biashara.
11 years ago
Michuzi19 Feb
wosia wa baba wa taifa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6KCPcRV4HAbtMcLHwDFnuEkRwDJr6OVYevHKXu1WVyAmkwFA24S3Qy203Qz9EVjk3bdzbal7JeccRt6ba0HwEVN/mbotooo.jpg)
MBOTO ATOA WOSIA WA KIFO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TI4uM2ffQgDTt3zdO-uYvTfJSYKDBhxmg7P*ifxfTc28AbzCdg6dU-GVMkDo0HSEnN6ayvMKwlIgKk3yT6kVfsv8wmSqvby/mandela.jpg?width=650)
WOSIA WA MANDELA WAZUA UTATA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO-uHp7OozthbmPPhif0dol51z9ozMhaIxVh1Mz8gtGX4Tehs0mw0osnuqDa*IijcOWsz9lSnHlne*Enf5EOEQWv/jokate.jpg?width=650)
WOSIA KIFO CHA JOKATE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*avof-8Hp4X5pwi7hMSWYUOyxmS5WDOYoJmQewrZGWyGM06oFECueiGpdBd3pmg3FwJFnTNIilMrybRQR9irWu/WOSIA.jpg?width=650)
WOSIA WA GURUMO WAZUA UTATA
10 years ago
Mtanzania30 May
Pinda atamani sheria ya wosia
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuna haja ya kuwa na sheria itakayowezesha uandikishaji wosia kuwa wa lazima ili kuondokana na migogoro ya kugombania mali za marehemu na unyanyasaji wa wajane na watoto.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, katika maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na uzinduzi wa kampeni ya uandishi wa wosia.
Alisema migogoro hiyo kwa kiasi kikubwa inaathiri wanawake na watoto pindi wazazi...