MBOTO ATOA WOSIA WA KIFO
![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6KCPcRV4HAbtMcLHwDFnuEkRwDJr6OVYevHKXu1WVyAmkwFA24S3Qy203Qz9EVjk3bdzbal7JeccRt6ba0HwEVN/mbotooo.jpg)
Stori: Gladness Mallya MKALI wa vichekesho Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ ameibuka na kusema kuwa endapo atafariki dunia mwili wake ukaagiwe katika Viwanja vya TCC Chang’ombe na siyo Leaders kama ambavyo imekuwa ikifanyika kwa wasanii wengi wanapokufa. Mkali wa vichekesho Bongo, Haji Salum ‘Mboto’. Akizungumza na paparazi wetu kwenye Viwanja vya Leaders wakati wa msiba wa msanii mwenzake, achel...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbadQdexSwLFUUXFYyLSXWomVVbey6JxdKS9zTjkJ4M-Ufmm5lt2aJs5jNzhaiGWxfgPfQKEhLNT3HneViz9EjF7M/devotha.jpg)
DEVOTHA ATOA WOSIA WA KIFO CHAKE
Stori: Gladness Mallya
WAKATI vifo mfululizo vikitokea Mei mwaka huu miongoni mwa wasanii maarufu nchini, nyota wa filamu Bongo, Devotha Mbaga ameibuka na kusema endapo ataaga dunia, hahitaji kufanyiwa mbwembwe wakati wa msiba na mazishi yake kama wasanii wengine walivyofanyiwa. Msanii maarufu wa filamu Bongo, Devotha Mbaga. Akistorisha na gazeti hili, Devotha alisema hatahitaji kununuliwa jeneza la kifahari, bali lichongwe...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO-uHp7OozthbmPPhif0dol51z9ozMhaIxVh1Mz8gtGX4Tehs0mw0osnuqDa*IijcOWsz9lSnHlne*Enf5EOEQWv/jokate.jpg?width=650)
WOSIA KIFO CHA JOKATE
Stori: Brighton Masalu na Boniphace Ngumije UCHURO? Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ ametabiri kile kinachoweza kuitwa ‘wosia wa kifo chake’ kwa kuweka wazi mazingira ambayo angependa yafanyike siku atakapotangulia mbele ya haki. Mwanamitindo Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’. Akizungumza na gazeti hili juzi, mmoja wa rafiki wa Jokate (jina tunalo), alisema staa huyo anapenda msiba wake uwe na mazingira yanayoendana na hadhi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d7qNNnP1qtfjWK2X*KGjvUpUlf92KKnGSL9IQiNsArK2jSm2OT42RpE2fdK2PxS1DtRs-UTQtpdVEBlnor87XAj/saguda.jpg)
MBOTO: SAGUDA ALIKIONA KIFO CHA RECHO
Stori: Shakoor Jongo KOMEDIAN mahiri Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ amefunguka kuwa Saguda alikijua kifo cha mpenzi wake, Sheila Haule ‘Recho’ kutokana na kauli zake alizokuwa akimwambia pindi alipokuwa akimuomba acheze filamu na mkewe kisha akafariki kabla haijatoka. Saguda akiwa na siamanzi baada ya kuondokewa na mkewe Recho Haule. Akizungumza katika mahojiano maalum aliyofanya na paparazi wa Global TV...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oZzyoBzxuKA/VArD49fI4PI/AAAAAAAGfpU/7u1HNrIugus/s72-c/IMG_3365-.jpg)
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 IWAWA SEKONDARI, MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA WOSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oZzyoBzxuKA/VArD49fI4PI/AAAAAAAGfpU/7u1HNrIugus/s1600/IMG_3365-.jpg)
Walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Iwawa iliyopo Makete mkoani Njombe wametakiwa kutoridhika na kubweteka na shule hiyo kushika nafasi ya nne kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita 2014 yaliyotangazwa miezi michache iliyopita
Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro katika hafla ya kuwapongeza walimu wa Iwawa sekondari baada ya shule hiyo kushika nafasi ya 4 kitaifa, nafasi ya 2 kikanda na nafasi ya 1 kwa mkoa wa Njombe...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YK7YUxgP3lA/VNkQhiFP-RI/AAAAAAAHCto/7JEmX9UFYuo/s72-c/download%2B(1).jpg)
JE WAJUA KUWA WOSIA WA MANENO NI WOSIA HALALI KISHERIA?
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK7YUxgP3lA/VNkQhiFP-RI/AAAAAAAHCto/7JEmX9UFYuo/s1600/download%2B(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ey4jUD2-R_M/VWXekdmNRCI/AAAAAAAHaLA/p_0OHG0v8Io/s72-c/New%2BPicture.png)
JK ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA ZA MZEE RUANGISA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://4.bp.blogspot.com/-ey4jUD2-R_M/VWXekdmNRCI/AAAAAAAHaLA/p_0OHG0v8Io/s1600/New%2BPicture.png)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa masikitiko na huzuni nyingi taarifa ya kifo cha...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KIGODA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s72-c/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Rais Kikwete atoa Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Mbinga,Mh. John Komba
![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s1600/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Katika salamu zake za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Anne Semamba Makinda na Katibu Mkuu wa CCM, MheshimiwaAbdulrahman Kinana, Mheshimiwa Kikwete...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KATIBU MKUU WA CPA, DKT. SHIJA
Dkt. Shija aliyefariki dunia Jumamosi asubuhi mjini London, Uingereza, ambacho ndicho kilikuwa kituo chake cha kazi, alisomea na kuwa mhadhiri wa uandishi wa habari kabla ya kuwa mbunge wa Sengerema kwa miaka 15 mfululizo na Waziri Mwandamizi wa Serikali...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania