Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEVOTHA ATOA WOSIA WA KIFO CHAKE

Stori: Gladness Mallya
WAKATI vifo mfululizo vikitokea Mei mwaka huu miongoni mwa wasanii maarufu nchini, nyota wa filamu Bongo, Devotha Mbaga ameibuka na kusema endapo ataaga dunia, hahitaji kufanyiwa mbwembwe wakati wa msiba na mazishi yake kama wasanii wengine walivyofanyiwa. Msanii maarufu wa filamu Bongo, Devotha Mbaga. Akistorisha na gazeti hili, Devotha alisema hatahitaji kununuliwa jeneza la kifahari, bali lichongwe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MBOTO ATOA WOSIA WA KIFO

Stori: Gladness Mallya MKALI wa vichekesho Bongo, Haji Salum ‘Mboto’ ameibuka na kusema kuwa endapo atafariki dunia mwili wake ukaagiwe katika Viwanja vya TCC Chang’ombe na siyo Leaders kama ambavyo imekuwa ikifanyika kwa wasanii wengi wanapokufa. Mkali wa vichekesho Bongo, Haji Salum ‘Mboto’. Akizungumza na paparazi wetu kwenye Viwanja vya Leaders wakati wa msiba wa msanii mwenzake, achel...

 

9 years ago

GPL

WOSIA KIFO CHA JOKATE

Stori: Brighton Masalu na Boniphace Ngumije UCHURO? Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ ametabiri kile kinachoweza kuitwa ‘wosia wa kifo chake’ kwa kuweka wazi mazingira ambayo angependa yafanyike siku atakapotangulia mbele ya haki. Mwanamitindo Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’. Akizungumza na gazeti hili juzi, mmoja wa rafiki wa Jokate (jina tunalo), alisema staa huyo anapenda msiba wake uwe na mazingira yanayoendana na hadhi...

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 IWAWA SEKONDARI, MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA WOSIA

Na Edwin Moshi, Makete
Walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Iwawa iliyopo Makete mkoani Njombe wametakiwa kutoridhika na kubweteka na shule hiyo kushika nafasi ya nne kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita 2014 yaliyotangazwa miezi michache iliyopita

Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro katika hafla ya kuwapongeza walimu wa Iwawa sekondari baada ya shule hiyo kushika nafasi ya 4 kitaifa, nafasi ya 2 kikanda na nafasi ya 1 kwa mkoa wa Njombe...

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA KUWA WOSIA WA MANENO NI WOSIA HALALI KISHERIA?

Wosia ni jambo kati  ya  mambo  ambayo huwasumbua watu  wengi. Sababu ya kuwasumbua  wengi  ni  lile  lile tu  kuwa  ufahamu  wa  mambo ya sheria haujawa wa kutosha  katika jamii. Tatizo la wosia limepelekea magomvi  makubwa  ya kifamlia hasa wakati  wa  misiba au baada ya misiba. Pia  wakati  mwingine ni tatizo  hili hili ambalo  limewafanya baadhi ya  watu tena ndugu  kugombea maiti. Kama watu wanaelewa vyema  habari ya wosia  na  haki  za  kila mtu katika  wosia  sioni  haja  ya  ndugu...

 

11 years ago

GPL

KIFO CHAKE CHATIBUA BETHDEI YA AUNT

Stori: Hamida Hassan
KIFO cha nyota wa filamu Bongo, Adam Kuambiana kilitibua  sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya watoto wawili Nicole na Martin iliyoandaliwa na Aunt Ezekiel akiwa na shoga yake Wema Sepetu.
Mastaa hao walikuwa wamekamilisha kila kitu na walishaanza shamrashamra zaa, ghafla wakasikia taarifa za kifo cha Kuambiana. Nyota wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel “Mi naumia jamani, unajua filamu yetu ya mwisho...

 

10 years ago

GPL

MADAI: AK47 ALIPIGWA KABLA YA KIFO CHAKE

Mwili wa AK47 ukitolewa katika mochwari ya Hospitali ya Nsambya. WAKATI wapenzi wa muziki nchini Uganda wakiwa bado wamegubikwa na simanzi kwa kuondokewa na mwanamuziki wa miondoko ya dancehall, Emmanuel Mayanja maarufu kwa jina la AK47, taarifa mpya zimeibuka kuwa kuna uwezekano kuwa alipigwa kabla ya kifo chake. Jose Chameleon (katikati) akiwa na simanzi baada ya kuondokewa na mdogo wake. AK47 amefariki… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mwingine auawa Geita, kifo chake chatatanisha

Mtu ambaye hajafahamika jina wala makazi, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Kituo cha Afya Katoro wilayani Geita, baada ya kufikishwa na polisi akiwa hajitambui.

 

11 years ago

Mwananchi

Kauli ya mwisho ya Ballali kabla ya kifo chake

Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania BOT), Marehemu Daudi Ballali aliacha wasia unaotaka maiti yake isionyeshwe hadharani atakapofariki dunia na wala maiti yake isiletwe Tanzania kwa ajili ya maziko.

 

11 years ago

GPL

AUNT AMWAGA CHOZI UTABIRI WA KIFO CHAKE

Na Hamida hassan SIKU chache baada ya Nabii wa Huduma ya Ufufuo, Buza jijini Dar, Yaspi Paul Bendera kutabiri kuwa vifo vya mastaa vitaendelea, staa wa sinema Bongo, Aunt Ezekiel amemwaga machozi baada ya kuhusishwa kuwa yeye ndiye anayefuata kufa. Staa wa sinema Bongo, Aunt Ezekiel Kupitia gazeti la Ijumaa, Juni 13, mwaka huu, Nabii Bendera alisema ameoneshwa kwamba wasanii 20 wangekufa hivyo kama wanataka kujinusuru, wafike...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani